Last time mbona tuliona Moruwasa wametangaza utumishi Na nina washikaji wa zangu wamepita bila kujikomba komba uko maofisini haya mambo ya ofisi za umma kujaa mpwa sijui mjomba sijui baba mkubwa ndio yanaturudisha nyuma ofisi inabaki kuwa soga la kupiga majungu Na diliTembelea sana idara za maji...hasa makao yao ya majiji,mkoa au wilaya...tofauti na ivyo hautopata kazi inatangazwa mtandao.