Ilikuwa Jumamosi tarehe 9/8/2014 natoka zangu KCMC kumwona jirani yangu aliyelazwa hapo.Nikiwa naelekea kwenye parking ya magari hamad! nakutana na miss chagga. Mara moja kamera yangu ikaingia kazini. Hebu licheki hapa toto la Kichagga.
View attachment 177016
Siwezi kuamini kama kweli ni miss chagga, mpaka nione miguu yake.
Kuwafahamu na kuwatambua watu tunatezama sura au miguu? Bahati mbaya sikumpiga picha miguuni.Ila kajaaliwa sana, ni mashallah! Hata hivyo sawabho, wasichana wa kichagga wa kizazi hiki cha miss chagga hawabebi mizigo na kupanda milima. Miguu yao swafiiii!Siwezi kuamini kama kweli ni miss chagga, mpaka nione miguu yake.
mmmmmh kibochaa mnasiii....mnama pesa eeeh.mbesha tila kama ndo miss chagaa huyu apitaiti imesia kabisaaaaa
Nakumbuka nilikuambia hicho kitu miss chagga, lakini wewe uling'ang'ania utani wako wa: 'Kamera feki hiyo hakuna chochote!' Unakumbuka?Halafu nilipokupa lift nikakuambia picha nitaipost Jamii photos ya JF ukaniambia 'Subutuuuu!' Wewe kwa utani na mzaha bwana, nakuvulia kofia.ha ha ha ha ha ha kumbe unatabia mbaya hivyo sasa mbona ukunikumbusha kufunga kifungo cha shati
Nakumbuka nilikuambia hicho kitu miss chagga, lakini wewe uling'ang'ania utani wako wa: 'Kamera feki hiyo hakuna chochote!' Unakumbuka?Halafu nilipokupa lift nikakuambia picha nitaipost Jamii photos ya JF ukaniambia 'Subutuuuu!' Wewe kwa utani na mzaha bwana, nakuvulia kofia.
uwa mwanya au pengo!!!! hahahaha my bg sista!!!..
Si nilikuambia lakini miss chagga, kwamba ntaiweka picha yako kwenye jukwaa la Jamii Photos? Kumbe uliona nakutania eh? Kwa uzuri unao aisee hasa hiyo soft skin na huo mwanya.Vipi, mgonjwa wako keshafanyiwa operesheni? Mpe pole sana.Nimeamini ila na wewe unamambo makubwa kunianika hapa ndiyo nini? Lakin me mzuri eeeh.... nanjilinji njoo unione nakuja wiki ijayo nangurunkuru usijenipita
Unatisha ila kiti hicho kimechuja. Ngoja kidogo...... aha huyu ni Miss Pare bwana angalia vizuriNimeamini ila na wewe unamambo makubwa kunianika hapa ndiyo nini? Lakin me mzuri eeeh.... nanjilinji njoo unione nakuja wiki ijayo nangurunkuru usijenipita
Hapa naona umeamua kutumia kibarabaiki kabisaaaaaaammmmmh kibochaa mnasiii....mnama pesa eeeh.mbesha tila kama ndo miss chagaa huyu apitaiti imesia kabisaaaaa
Unatisha ila kiti hicho kimechuja. Ngoja kidogo...... aha huyu ni Miss Pare bwana angalia vizuri