Mzee ES,
Ni kweli Butiku alikuwa na jukumu kubwa kumshawishi amkubali/amwunge mkono Mkapa in 1995. Lakini baada ya hapo Mkapa alipata marafiki wapya wakamshawishi akeep away from these people from Musoma. You know what? Tangu Mkapa alipoingia Ikulu he has never had a one on one with Butiku? Kila mara Butiku akipiga simu walikuwa wanampa chenga. Hata ule wakati Mkapa alipovimba miguu Butiku wanted to visit but he never got an appointment. That is the kind of person Mkapa was. Kitu kilichinisikitisha zaidi, marehemu Mzee Bomani told me what Mwalimu told him about NBC. You know, by 1997 Mwalimu was going around the country talking to the wananchi about keeping NBC in Tanzanian hands. Mkapa did not like that. Alimfuata Butiama akamwambia Mwalimu naomba uache kuzungumzia NBC. Trust me and see what I will do. So Mwalimu goes back to Butiama and keeps quiet. Guess what Mkapa did? Aliwakabidhi makaburu benki ya wananchi wa Tanzania na mpaka leo tuna kilio kisicho na mwisho wake. Sasa kama huyu si Yuda ni nani? And see how much the Kaburus have made by selling NBC to Barclays. Afadhali hata sisi wenyewe tungekubaliana na Barclays in the first place we would have gotten a better deal!