Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

uwezo wa kuwa nacho kikubwa zaidi tunacho sema tu usanii mwingi sana.
Nchi yetu inatatizo la kiuongozi sana ndo mana vtu haviendi kwa nchi yetu iliyo na kila kitu kuwa na ndege hii ndogo ni aibu, ila si haba kuliko wale waliuza zile ndege zenye hadhi za wakati wa Nyerrere. Kila kitu hakiendi na ni aibu Nyerere sijui aliwazaga vipi kujenga viwanda katibia kila corner hafu wengine wakaviua.
 
Hiyo bombadia yetu' yaan siti zake kama za bus ya mkoani. Ni aibu kujinadi tuna ndege
 
mwenyewe angukuwa anasoma hiz comments haki ya nan angeenda kupiga mnada ndege zake akanunue vichwa vya train tu, watanzania burudani sana
Anapitiaga humu marachache
 
Jamani bora hata kapangaboi kuliko tulivokuwa hatuna kabisa
Mkuu....
Tuliwahi kumiliki ndege kubwa na za kisasa kuliko hiyo Dash 7/8.
Hapa lakujiuliza ni, je zipo wapi zile ndege kubwa tena nzuri na zakisasa?
 

Hivi barafu hizi pangaboi ni za karne hii au ya 20 maana mi huona sana zisizo na mapanga
Ndio Diva Beyonce hizi ni latest version!!Maana hizi Dash8 kuna Q100/200/300/400
Sasa Q400 ndio latest model....Unajua kimsingi ndege zote zina pangaboi,isipokuwa hizi za ATCL zipo kwa nje,wakati zile za ndege kama hii picha ya Emirates pangaboi zake zimefunikwa tu kwa ndani na ndio maana ya jet.

Sabb moja ya kitu kinachotofautisha ndege moja na aina nyingine ni vitu kadhaa.Kwanza ni Fuselage(body),Wings,Engines,Landing Gears etc.

Kwa hiyo ndio maana kuna ndege za Jet Injini na Prop Injini.Aina ya injini haimaanishi kuwa ndege hii ni kizamani.Sasa ndege imetengenezwa Feb 2015 itakuwaje ya 20th?
Unaona zote zina mapanga,sema hii yapo nje na nyingine yapo ndani...Tuna uashabiki fulani hivi hata ukimuelezea mtu anaona kama unalipwa na Jumba jeupe,kumbe mambo mengine hayahitaji siasa Madam
 
Yote tisa, kumi twiga wetu wa zamani alikuwa na mvuto jamani.
Wa sasa hivi kama kateguliwa miguu au ana matege ya Selgado.
Alibadirishwa kipindi cha Mataka,na uliza aliyebuni huyo twiga mpya alikula shilingi ngapi?Utazimia
 
KUna jirani zetu nchumbiji nao wako vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…