Usiwe rahisi kiasi hiki dada

Usiwe rahisi kiasi hiki dada

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,628
Reaction score
4,971
Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.

Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.

Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.

Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.

Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.

Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.

Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
 
kweli wewe upo dunia ipi?
Mwanamke ukitongoza akakukubalia siku hiyo hiyo na akakupa papuchi siku hiyo hiyo sio kwamba ni mrahisi au nimalaya ispokuwa mlikutana wote mna migenye na demu akiangalia ana maugumu ya mwaka mzima alafu na wewe umejitokeza kwa nini asichangamkie fursa hahahaha
 
Kakupa papuchi ckuhiohio unamuona anajirahisisha ngekucheleweshea usingekosa la kumwambia.
 
Akinipa papuchi the same day hata ub** wangu siuingizi huko, ptuuu!! Nampiga "finga" then asepe and that will be **the end**
 
Wewe na yeye ndo wale wale first day anakukubali na wewe unatoa gegedo lako unakula
kupima hujapima
mnakuwa na haraka za nn??
mwisho wake ndo huu kulalamika
 
hahahhahahaaa, hapo nahisi ushamchoka lakini jinsi ya kumtoa huna, tena jiandae manake mwanzoni mwa mwezi ujao lazma akwambia nna mimba
Nikweli namtafutia sababu ya kumwondosha lakini hakosei. Mimba si rahisi, ndom at work.
 
Nikweli namtafutia sababu ya kumwondosha lakini hakosei. Mimba si rahisi, ndom at work.



Mkipendwa mnaleta viburii, dame akikuganda kawa cheap, wewe ukichoma petrol kumfukuzia unakua expensive....

Kwangu umeharibu maana ya neno "cheap" ...to me;


Cheap is wen a man continues opening a woman's legs with no compliments...

Cheap is wen a man goes embarassing her woman in public...

Cheap is wen a man continues f*ckin a woman she doesnt love...

Cheap woman is a woman who continues being with a man who call her "cheap"
 
Nikweli namtafutia sababu ya kumwondosha lakini hakosei. Mimba si rahisi, ndom at work.

hapo ndo huwa siwaelewi wanaume unakuta kashamshoka dada wa watu lakini kugegeda haachi ni nini? hebu jifanye kama humuoni hata akikugusa kila siku mtafutie sababu mara nimechoka, sijisikii na unalala na pajama uone kama hata ondoka, sio kila sku uko kifuani mwake unategema mwenzio aeleweje?
 
Mhhhh unayezungumza nae yupo JF? au unataka utuoneshe ni kiasi gani umegandwa na una dharau zisizokuwa na akili? So ulitaka nini kwa huyo dada? Na kama ulivyofanikiwa Kumtia mkononi mwako unashindwa nini kumwambia I was not serious with you ili aondoke zake? Btwn huwa mnakutana na wadada wa wapi?
 
Back
Top Bottom