ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,971
Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.
Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.
Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.
Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.
Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.
Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.
Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.
Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.
Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.
Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.
Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.
Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.