Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Duuuuuuuuuuuu
Kahaba aiseeemaskin huyu demu wa kichina, kingereza kimepishana nae angejua kilichoandikwa hapo angechoma moto hiyo nguo
hayo ni maneno ya kiitalianoEnzi za utoto wangu nilivaa tshirt yenye maneno yasiyojulikana na jamii yangu. Siku moja nilipishana na watalii nikiwa nimevaa nguo hiyo walianza kucheka balaa. Nakumbuka dada mmoja alinifata akanipa pipi na kusema maneno kama parampa elimpidi bambino. Mpaka leo sikuwahi kujua yale maneno yalimaanisha nini.
Jamaaa katishaaView attachment 901251
Duh! Hatari kutoelewa lugha ni shida.
Mie naona kama design ya DeliciousIla sura yake kama ana kautahaira kidogo
Aisee hii ni hatari tazama mwingine huyu hapa
Duuh aisee, then yupo kama kanisani vileAisee hii ni hatari tazama mwingine huyu hapaView attachment 917876
Ndio mkuu hapo yuko ibadaniDuuh aisee, then yupo kama kanisani vile
Hatari sana hii mkuuNdio mkuu hapo yuko ibadani