Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)


Hahaha kweli mbunyee ni noma hapana chezea mbunyeee weka mbali na watoto
 
Jamaa yangu yameshamsibu hayo majanga!ye mwenyewe anabaingaiza vibiashara mjini hapa lakini demu wake anamsomesha chuo,mwisho demu kamaliza chuo akajichanganya zaidi alimpomsaidia kupata kazi katika idara nyeti sana serikalini.

Kilichompata msiniulize maana naweza kulia
 
Mimi ndiyo maana girl friend wangu baada ya kumlipia ada nilikuwa kila nikikutana naye lazima nikeshe naye na nilikuwa nikimpa siyo chini ya vitatu yaani mpaka tumeachana roho yangu kwatu yaani tumeachana kiroho safi na sasa ameolewa na nimemchangia mchango wa send off na mpaka kesho nikitaka mchezo ananipa kiroho safi
 

Idara nyeti nyeti ipi? suti nyeusi au???
 
wajanja tunakuelewa mkuu

kweli kabisa Somesha mke na sio girlfriend!
 

we unazuga hukuwa na makubaliano ya kumuoa bana
 
Mm wang atavaa ushung ndan hakuna kutoka awe anasubr kutafuna pesa zng tuuu
 
Nitakusomesha kama tu, nimekuoa au una mtoto wangu.
Hayo mengine tutasameheana
 
Tatizo la hao wanaosomesha wachumba/wapenzi hujisahau baada ya kutoa fadhila. Wanabweteka wakijua as long wamesomesha washamaliza kazi hawafanyi chochote cha ziada kuhakikisha penzi linadumu! Lakini pia wapenzi kuachana imekuwa kitu cha kawaida,hivyo akikuacha tambua kuwa sio kwasababu ashapata elimu bali hata usingemsomesha angeweza kukuacha
 
Ukiona mwanamke amegeuka makubaliano na wewe ujue alikuwa hakupendi ila anakutumia tu, au wewe unaweza badilika tabia nae akaamua kukuacha wewe ukawaza sababu ni elimu aliyoipata, siku hizi hata ndoa zinavunjika sasa ukimsomesha akiwa mke na akaondoka hutaumia? Upendo na uaminifu hufanya ndoa imara, si umegharamia kiasi gani kwa mwenzi wako ndio kutakupa ndoa yenye amani na mshikamano.
 
ukitaka mke msomi kajiandikishe masters mtakutana hukohuko darasani,
 
Hayo yamewakuta wengi. Nataka pia niongeze kwamba, usithubutu kununua vitu vya kudumu mfano gauni, viatu, nk. eti apendeze. Mpeleke hotelini, bar, na aina nyingine za vyakula na vinywaji. Hivi havina kumbukumbu, akishakwenda chooni ndo basi.
 
Lakini madame, msaada ni kama sadaka na Bible inasema tumchokoze Mungu kwa njia ya sadaka. Japo hii ya kusomeshana huku mnazini sio sadaka.

Tatizo wanakwepa kuoa kama wanaruka vihunzi. Huyu anaesema anasomesha anasimanga stu, manake kusomesha mtu sio kumpa hela ya viwalo na vocha. Kuna ada, stationeries, malazi, matibabu na chakula. Field allowances etc. I doubt kama wanamaanisha kusomesha manake vipato vyenyewe vya ngama.

Lakini still, kama mnashindwana kunakuwa na sababu. Kama ambao hawajasomeshana wanaachana, why do you expect kusomesha iwe ndio super glue?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…