kamati
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 240
- 109
Ndugu zangu,
Katika kuishi na watu mbalimbali na kuchunguza ndoa zao kuharibika zifuatazo ni sababu zinapaswa ziangaliwe kwanza
1. Usithubutu kuoa katika familia ambayo ni ya kisimbe kwa sababu watoto hawatokuwa na maadili mazuri ispokuwa tu labda baba yao awe amefariki kwa bahati mbaya
2. Usioe katika familia ambayo kila mtoto ana baba yake hata kama huyo mama mkwe ana mme kwani wale mabinti watakuwa na mfumo huo huo tu wa umalaya.
3. Usioe sehemu ambayo mama anaonekana kuwa na sauti kumshinda baba na hao mabinti utakaowaoa watakuja na hilo wazo la kutaka kukutawala kama mama yao anavyomfanya baba yao.
4. Ukitaka kuoa chunguza kaka zake na mchumba wako ukiona ni walevi, wazinzi, wezi, waropokaji, wagomvi, piga chini huyo kwani naye atakuwa hivyo hivyo.
5. Usioe mwanamke ambaye kwao ni maskini mno kwani atakuibia na atajenga kwao au kukuroga akuinamishe ili kila analokwambia ufuate na hata kukuua ili arithi mali ni hatari mno
6. Usioe demu ambae kwao wana mambo ya ushirikina, ni hatari!
Katika kuishi na watu mbalimbali na kuchunguza ndoa zao kuharibika zifuatazo ni sababu zinapaswa ziangaliwe kwanza
1. Usithubutu kuoa katika familia ambayo ni ya kisimbe kwa sababu watoto hawatokuwa na maadili mazuri ispokuwa tu labda baba yao awe amefariki kwa bahati mbaya
2. Usioe katika familia ambayo kila mtoto ana baba yake hata kama huyo mama mkwe ana mme kwani wale mabinti watakuwa na mfumo huo huo tu wa umalaya.
3. Usioe sehemu ambayo mama anaonekana kuwa na sauti kumshinda baba na hao mabinti utakaowaoa watakuja na hilo wazo la kutaka kukutawala kama mama yao anavyomfanya baba yao.
4. Ukitaka kuoa chunguza kaka zake na mchumba wako ukiona ni walevi, wazinzi, wezi, waropokaji, wagomvi, piga chini huyo kwani naye atakuwa hivyo hivyo.
5. Usioe mwanamke ambaye kwao ni maskini mno kwani atakuibia na atajenga kwao au kukuroga akuinamishe ili kila analokwambia ufuate na hata kukuua ili arithi mali ni hatari mno
6. Usioe demu ambae kwao wana mambo ya ushirikina, ni hatari!