bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,333
- 402
Kujituma kitandani inategemea upo na nani. Ajitume kwako kwa kipi haswa?
KUNIPA RAHA, hujui?
Kujituma kitandani inategemea upo na nani. Ajitume kwako kwa kipi haswa?
Ndio hadithi za Abunowasi hizi mkuu. Eti kawala 21. Mpaka wanafika idadi hiyo yeye bado anao tu pamoja na kosoro zote hizo. Tatizo kuna watu wana inferiority complex na huyo jamaa ni mmoja wao. Tumpuuze tu.
Wanyakyusa hawana hayo maneno, ni ya kihehe unatudanganya hapalol! We niangushe tu unigegede si dhambi zako mwenyewe :mimba:
Gelofriend unatuonea teh tehNi wababe haoo mmmh
Hahah, unatuonea banaNi wababe haoo mmmh
Kwa bahati ikatokea umepata mchumba/mke wa kinyakyusa. Usifikirie kumuacha maana ni watu wanajibidisha kutafuta pesa, pia kitandani wapo vizuri. Kasoro wana sura ngumu sana.
Wanyakyusa ni wababe bana 😀Hahah, unatuonea bana
Gelofriend ndo hivo yani tehGelofriend unatuonea teh teh
Ukijumlisha na ile miili yetu sasa dadeki tunajikuta wakubwaaa tehGelofriend ndo hivo yani teh
Acha tu, kuna shoga angu ni mixer ya mnyakyusa na mkurya acha kabisa mme wake kazi anayo kazi si ya kitotoUkijumlisha na ile miili yetu sasa dadeki tunajikuta wakubwaaa teh
Teh hiyo mixer me ningekimbia tu. Simpatii nega huyo mumeweAcha tu, kuna shoga angu ni mixer ya mnyakyusa na mkurya acha kabisa mme wake kazi anayo kazi si ya kitoto
Acha tu mme anafunguaga geti saa kumi alfajiri mke wake aingie kulalaTeh hiyo mixer me ningekimbia tu. Simpatii nega huyo mumewe
Daah kuna watu wanapataga wanaume lakini. Huyo mume ndo tuseme ni mpole sana au kaamua tu kukaa kimya? Pole yake huyo mumeAcha tu mme anafunguaga geti saa kumi alfajiri mke wake aingie kulala