Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Dada yangu hakurogwa...walimroga ndugu yao (if they did)


 
Wachawi,Wachoyo,Malaya,Wana Kiburi,Wanajaza ndugu zao kwako,Wakabila na ni Wanafiki wakubwa siku ya kwanza wanakusalimia wanakaa chini kujidai wana nidham na maneno mengi ili ujue wakarimu ngoja wakuzoee hamna rangi utaacha ano,Nimewala sana pale Kyela kabla ya kuwastukia.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Labda wanyakyusa wengine sio Shangazi yangu aisee wife material Uncle wangu ndo alikuwa sio, Mungu akubariki shangazi
 

Wanyakyusa na wewe nani malaya, unajisifia umewala kama 21 hilo kabila moja tu... Wanaume wegine mlistahili kuwa mibeberu


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
wacha waringe bhana, kwanin watangaze shida zao ili hali ni wahangaikaji? nawapenda sana kwa msimamo wao, wakitangaza shida wataonewa bure, dharau yao sasa, mbona utajihic kopo la choo

Na ndiyo maana ni nadra kumkuta msichana wa kinyaki anafanya kaz za ndani (kama beki 3)
 
Mimi nimeoa dada wa kinyakyusa ni mzuri sana hata mnyarwanda hafikii, tatizo lao ni kujifanya hawana shida kwao,. Ila kwa bidii na maarifa wanatisha

Hamna lolote huyo kaficha makucha,usicheze na kitu cha Rwanda wewe.....
 
Pakaja pa myetu nkafundo pa Pa Ipinda,lloli nkikulo komywabho ko Talatala!

Mmmh! Mma ngafu, keta ngambhona najumo ugwa kwa mpuna pamo bakajapo mno? Ngubhabhona jijumwe mwe mwa kwa kyela!
 
ok,nimekuelewa, pole sana.

Asante sana mkuu, na kwa kuongezea tu mwisho wa siku alichana cheti cha ndoa vipande vipande, leo ananisaka wakati mimi nsha settle tayari. Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…