Usiseme hivyo mkuu, ukute jamaa aliondoka kijijini kwao jana asubuhi amesukuma baiskeli usiku kucha, hapo jua limesimamia utosini siku ya pili na hajala tangu jana, huko njiani amekunywa maji mtoni mara moja tu unategemea nini kama sio kuliwa. Kitaalam ukikumbwa na hamaki kama hivi na tumboni hauna kitu lazima uharishe kwani Adrenaline hua haifanyi kazi kwasababu hakuna sukari (ATP) yakuipa misuli nguvu ya ziada.du,huyu aliyekonda namna hii hanili.