iringa wa 3 kakamji msafi sana huo, lkn sasa nasikia mji unao ongoza kwa usafi TZ ni Iringa. hongera sana kwa uongozi wa miji hiyo.
poa mkuu, pia twawapongeza.iringa wa 3 kaka
Nilivyosikia mie Mwanza ndo inaongoza kwa sasa. Ila Moshi napakubali.mji msafi sana huo, lkn sasa nasikia mji unao ongoza kwa usafi TZ ni Iringa. hongera sana kwa uongozi wa miji hiyo.
Big up sana mo town
ila wale dada zetu wauzaji wameongezeka sana!