Usitegemee ukweli kutoka kwa Dk. Steven Ulimboka!!

Usitegemee ukweli kutoka kwa Dk. Steven Ulimboka!!

...Usitegemee ukweli wowote kutoka kwa Dk. Steven ulimboka.
...Kwanini?,

Hivi ungekua wewe ndio Dk. Ulimboka una sifa zifuatazo
...Labda una familia yenye watoto zaidi ya wawili, Mke pamoja na other relatives..
Hivi TISS wakisema au wakiku-hakikishia kuwa moja ya mtoto wako atakua kama bond ya
kulinda kilichotokea,
Kumbuka watoto au mtoto anaweza akawa framed kwenye ajali ya kugongwa na gari..
wewe kama baba unachukua move gani?.

NB
Swala hili ni la kufikirika ukilinganisha na chelikari yetu.

ulikuwa unategemea ninitena zaidi ya alichokiongea wakati akiwa ktk khali mbaya kiafya? soma mwanahalisi kwani limewasilisha kila ulitakalo
 
Ukweli ni kuwa litekwa na kuteswa upi tena jamani. Mbona swala lipo mahakamani jamani halizungumzwi. Any way mwanao alisema baba umejamba kama kweli mwambie nacheza nakutania tu (kama sasa) au mchape (peleka mwanahalisi mahakani) kwa uongo.
 
ulikuwa unategemea ninitena zaidi ya alichokiongea wakati akiwa ktk khali mbaya kiafya? soma mwanahalisi kwani limewasilisha kila ulitakalo

Japokua JF place ya ma GT, but huwa mnajidili mada kitoto sana.
Hivi!!, MMesahau sakata la Mwakyembe!!?, Sitta si alipiga kelele akishirikiana na vi-member uchwara humu kwamba
mwakyembe kaekew sumu, na akirudi ukweli utakua wazi!,
leo kiko wapi?!
Ushawahi kujiuliza kilichotokea?.
 
Japokua JF place ya ma GT, but huwa mnajidili mada kitoto sana.
Hivi!!, MMesahau sakata la Mwakyembe!!?, Sitta si alipiga kelele akishirikiana na vi-member uchwara humu kwamba
mwakyembe kaekew sumu, na akirudi ukweli utakua wazi!,
leo kiko wapi?!
Ushawahi kujiuliza kilichotokea?.

hivi wakati Dr uli anaondoka kwenda ktk matibabu alikueleza kuwa akirudi atasema ukwli wa kilichotokea? Dr Uli alisha sema yake na video yake ipo youtube nini tena unataka? mwanahalisi wamesha andika na ushahidi umewekwa na gazeti limefungiwa pasi ya kupelekwa mahakamani ,wewe unataka Dr Uli aseme nini?
kazi imebaki kwenu kuchambuwa mchele na pumba
 
...Usitegemee ukweli wowote kutoka kwa Dk. Steven ulimboka.
...Kwanini?,

Hivi ungekua wewe ndio Dk. Ulimboka una sifa zifuatazo
...Labda una familia yenye watoto zaidi ya wawili, Mke pamoja na other relatives..
Hivi TISS wakisema au wakiku-hakikishia kuwa moja ya mtoto wako atakua kama bond ya
kulinda kilichotokea,
Kumbuka watoto au mtoto anaweza akawa framed kwenye ajali ya kugongwa na gari..
wewe kama baba unachukua move gani?.

NB
Swala hili ni la kufikirika ukilinganisha na chelikari yetu.

Kweli wewe wamekutuma. Waambie their mission abotted!!! It wasn't successful installed!!! Dr. haogopi hata siku ile yuko katika strecher alisema "Ninaondoka, ninaomba damu iliyomwagika iwe chachu ya ....... malizia". Atasema yote na kutaja kwa majina!!!!! Unazaliwa siku moja na unakufa siku moja, tena dying a hero!!! He did it, he will keep on doing it!! Viva Dr. Ulimboka.
 
maisha ya ulimboka mbona mnayafuatilia sana? tatizo mnataka kitokee mnachotaka nyinyi na cyo kama jinsi ilivyo
 
Nakumbuka Mwakyembe alisema akirudi toka India angefunua kila kitu kuhusu afya yake. Hadi leo kimyaaaaaa!!!!
 
Japokua JF place ya ma GT, but huwa mnajidili mada kitoto sana.
Hivi!!, MMesahau sakata la Mwakyembe!!?, Sitta si alipiga kelele akishirikiana na vi-member uchwara humu kwamba
mwakyembe kaekew sumu, na akirudi ukweli utakua wazi!,
leo kiko wapi?!
Ushawahi kujiuliza kilichotokea?.

Dr. Ulimboka si mwanasiasa wa kuhongwa kwa vyeo. Angetaka cheo au kuhonga angekubali ofa zote za TISS walizokuwa wanataka kumnunua ili awasaliti wenzake tangu mgomo wa kwanza!!! Hana njaa, ni dr na kazi yake inamuwezesha kufanya kazi part time au hata kufungua hospital na akapeta mjini. Kina Mwakyembe walishakimbia umande wa kufundisha chuo na kamshahara kaduchu na pension ppf ambapo ni sawa na sifuri.
 
maisha ya ulimboka mbona mnayafuatilia sana? tatizo mnataka kitokee mnachotaka nyinyi na cyo kama jinsi ilivyo

TISS ndiyo wanafuatilia na kina kova, the biggest liar ever!! Who else anafuatilia zaidi ya ile taasisi DHAIFU na legelege? Liwalo na liwe na halikuwa!!!
 
Nakumbuka Mwakyembe alisema akirudi toka India angefunua kila kitu kuhusu afya yake. Hadi leo kimyaaaaaa!!!!

Uwaziri mtamu!!! But Dr. Uli is not a politician!!! Hahongeki ndiyo maana waliona bora wammalize but kama Mungu hakupanga hakuna wa kukua!!! He has to stay, for the sake of his family, especially his young kids and wife and for the benefit of all Drs. suffering low pay at the expense of poor investment constracts which do not cater for social security including employment benefits. Poor Tanzania, rich of natural resources but poor citizens dwelling on abject poverty!!! including your relatives, who you always portion your meagre income to support the poverty vicious cycle!!! We can not break it this way!!! We need a daring leader to do this, you and me are the object/agent for change, a change we desired for years.
 
Uwaziri mtamu!!! But Dr. Uli is not a politician!!! Hahongeki ndiyo maana waliona bora wammalize but kama Mungu hakupanga hakuna wa kukua!!! He has to stay, for the sake of his family, especially his young kids and wife and for the benefit of all Drs. suffering low pay at the expense of poor investment constracts which do not cater for social security including employment benefits. Poor Tanzania, rich of natural resources but poor citizens dwelling on abject poverty!!! including your relatives, who you always portion your meagre income to support the poverty vicious cycle!!! We can not break it this way!!! We need a daring leader to do this, you and me are the object/agent for change, a change we desired for years.

Kila kitu kina utamu na uchungu wake, umefikiria kwa kichwa chako na ukatumia akili zote ukaona mtu anaeweza kuhongwa ni mwanasiasa tu!. plus dunia nzima kitu kitamu ni Uwaziri tu!. kweli kazi ipo.
 
Uwaziri mtamu!!! But Dr. Uli is not a politician!!! Hahongeki ndiyo maana waliona bora wammalize but kama Mungu hakupanga hakuna wa kukua!!! He has to stay, for the sake of his family, especially his young kids and wife and for the benefit of all Drs. suffering low pay at the expense of poor investment constracts which do not cater for social security including employment benefits. Poor Tanzania, rich of natural resources but poor citizens dwelling on abject poverty!!! including your relatives, who you always portion your meagre income to support the poverty vicious cycle!!! We can not break it this way!!! We need a daring leader to do this, you and me are the object/agent for change, a change we desired for years.

Kila kitu kina utamu na uchungu wake, umefikiria kwa kichwa chako na ukatumia akili zote ukaona mtu anaeweza kuhongwa ni mwanasiasa tu!. plus dunia nzima kitu kitamu ni Uwaziri tu!. kweli kazi ipo.
 
Ukweli unajulikana. Jitihada zilizopo ni kupotosha ukweli.
 
...Usitegemee ukweli wowote kutoka kwa Dk. Steven ulimboka.
...Kwanini?,

Hivi ungekua wewe ndio Dk. Ulimboka una sifa zifuatazo
...Labda una familia yenye watoto zaidi ya wawili, Mke pamoja na other relatives..
Hivi TISS wakisema au wakiku-hakikishia kuwa moja ya mtoto wako atakua kama bond ya
kulinda kilichotokea,
Kumbuka watoto au mtoto anaweza akawa framed kwenye ajali ya kugongwa na gari..
wewe kama baba unachukua move gani?.

BILA SHAKA WEWE NDIYE MTESAJI WAKE!
 
Kweli watu wa Mbeya ni mgumu kufa, mafisadi sasa wanawagwaya: Mwakyembe, Mwandosya, Ulimboka...

Mungu ni mkubwa
 
Back
Top Bottom