Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,529
- 94,711
Sio uchagani, ni muarusha ila matata sana na ni mlokole. Nimeshamjulia hanisumbui. Napiga kimya kila kitu nimebakiza salamu na kupeana taarifa muhimu basi.Kweli, hasa toka pande tajwa. Kwao Ili uwe wa maana Ni uwe unamwaga mahela tu



