Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,895
- 90,433
- Thread starter
- #81
Am your follower
Karibu sana Mkuu
Am your follower
Upo sahihi Sana mkuu, vijana tunatakiwa tujifunze kutoka Kwenye huu uzi
Kuna formula ukiifata wengine wanaweza kukushangaa lkn ww unajua unafanya nini.
Huwa nasema ukifanya jambo kwa kisingizio eti ningefanyaje na nina njaa. Hiyo njaa haiwezi kuisha na utaendelea kuwa wa bei nafuu. Kwasababu ww ndio unatengeneza mfumo direct au indirect.
Mtu kabla hajakutafuta anajua fulani bei zake huwa zikoje na kazi zake zikoje.