Usitafute pesa; ifanye Pesa ikutafute yenyewe

Usitafute pesa; ifanye Pesa ikutafute yenyewe

Wacha wee naona na wewe umeacha anuani na umeunda hofu..😅
Haya sasa kamchuzi haka hapa..😜


Unazingua Mkuu 😀 😀 😀

Wengine wanasema nataka teuzi, yaani binadamu kwa maneno nimewavuliwa kofia
 
Unazingua Mkuu 😀 😀 😀

Wengine wanasema nataka teuzi, yaani binadamu kwa maneno nimewavuliwa kofia
Mkuu tueleze maendeleo yako sio unaandika uzi lote hilo tukajua nawe ni moja ya watu wanaoishi kumbe unapumua tu badala ya kuishi..😂
 
Mkuu tueleze maendeleo yako sio unaandika uzi lote hilo tukajua nawe ni moja ya watu wanaoishi kumbe unapumua tu badala ya kuishi..😂

😀 😀 😀 😀

Mungu ni mwema Mkuu. Maendeleo ni pamoja na kuandika uzi huu.
Karibu
 
Ongera sana, umejitahidi kuondoa ibada ya Sanamu kwa watu. Watu Sasa hivi wanaabudu pesa. Tumaini, furaha, amani Raha, vyote watu wameviweka kwenye pesa. Ikiisha mtu anaanza kupata Magonjwa ya ajabu kisa Mungu wake katoweka.
 
Pesa inifuate..

Pesa inifuate..

Pe.. inifuate...!!??

Got it I should be a bank
 
Ongera sana,umejitahidi kuondoa ibada ya Sanamu kwa watu.Watu Sasa hivi wanaabudu pesa.Tumaini,furaha,Amani Raha,vyote watu wameviweka kwenye pesa.Ikiisha mtu anaanza kupata Magonjwa ya ajabu kisa Mungu wake katoweka.


Kweli kabisa, wala hujakosea
 
Imeturia sana hii,
Laiti elimu hii kwa lugha inayoeleweka na laini kama hii,ingekuwa inatolewa kwa vijana wakiwa secondary mpaka vyuoni,tungekuwa mbali,
Umedadavua vzr sana bro!
Barikiwa sana.
 
Toka ndotoni..
Anatupigia mikelele wakati yeye mwenyewe ni miongoni mwa wanaotafuta pesa.
Sisi tunaomiliki makanisa ya upako ndio wenye mifereji na visima vya pesa.
Kila jumapili tunakinga vikapu wale waliozitafuta wanakuja kuzijaza bila ya sisi kutumia nguvu.
 
Anatupigia mikelele wakati yeye mwenyewe ni miongoni mwa wanaotafuta pesa.
Sisi tunaomiliki makanisa ya upako ndio wenye mifereji na visima vya pesa.
Kila jumapili tunakinga vikapu wale waliozitafuta wanakuja kuzijaza bila ya sisi kutumia nguvu.

😀 😀 😀 😀

Nimekuharibia biashara?
 
Back
Top Bottom