Usishangae lakini hii picha imenisikitisha sana

Usishangae lakini hii picha imenisikitisha sana

Mkome nyie si mnaona fasheni kila siku kubadili viongozi wa CCM tuu wanaiba na kulindana.... Mtafadhaika sana na mtaona kila rangi msipo badili mfumo wa utawala na kuweka UKAWA on place....
 
Mkome nyie si mnaona fasheni kila siku kubadili viongozi wa CCM tuu wanaiba na kulindana.... Mtafadhaika sana na mtaona kila rangi msipo badili mfumo wa utawala na kuweka UKAWA on place....

Wanasema eti tukibadili chama itatokea VITA kama Congo!
 
Wakati Serikali yetu ipo bize kufilisi mashirika ya uma kwa ufisadi na kulinda mafisadi, majirani zuut Kenya wao wanaendelea kutuacha kwa kasi.

Aliyeturoga sisi alishakufa.

B737F_Visual.jpg

.......Tanzania kisiwa cha amani.....nchi yenye raslimali nyingi.....wageni hupendelea kutembelea.....fursa kibao kwa wawekezaji....wenye meno ndiyo wanatafuna nchi.....nchi ya wapigwe tu....inteligensia inafanya kazi wakati wa maandamano na mikutano ya vyama mbadala na chao.....lakini haifanyikazi kuwatambua na kuwapiga tu mafisadi, wezi (siyo vibaka) wa mali za umma, drug lords, waliofilisi mashirika yetu nk.... kuanzia mwezi Machi/Aprili utashuhudia jinsi wasaka urahisi wa urais watakavyogawa rushwa/ takrima/nauli kwa wajumbe wa Nec na mkutano mkuu maalum ili majina yao yapite.... wakipata madaraka cycle ya ulaji inabaki palepale....nakapenda haka ka nchi!
 
Back
Top Bottom