Usishangae lakini hii picha imenisikitisha sana

Usishangae lakini hii picha imenisikitisha sana

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,662
Wakati Serikali yetu ipo bize kufilisi mashirika ya uma kwa ufisadi na kulinda mafisadi, majirani zuut Kenya wao wanaendelea kutuacha kwa kasi.

Aliyeturoga sisi alishakufa.

B737F_Visual.jpg
 
Eeeh Mungu, unisamehe, najuta kuzaliwa katika kipande hiki cha Dunia kiitwacho sijui nini Tanganyika, Tanzania Bara....sielewi naishi wapi.
 
We need to do some extraordinary decisions.
For God's sake, We just need changes.
 
Eeeh Mungu, unisamehe, najuta kuzaliwa katika kipande hiki cha Dunia kiitwacho sijui nini Tanganyika, Tanzania Bara....sielewi naishi wapi.

Imekuwa dhambi kubwa kutaja Tanganyika na sijui kwa nin haswa
 
aiseeee babayangu inasikitisha sana ha2na hata ndege 1 ya serekari inayofanya safari za ndani??
 
Wakati mwingine ukiitafakari nchi yetu unaweza kujuta na kumkufuru muumba kuwa kwanini alikuumba binaadamu katika nchi hii bora hata ungeumbwa ngedere tu huko porini...ule matunda yako na siku ziende maana kuzaliwa binaadamu nchini TANAZANIA ni mateso sana....
 
Shida tumekubali kutawaliwa na watu walo na uwezo mdogo kufikiria mbali.wanafiri watakufa lini.
 
ndio maana nasema this time tumscreen mtu sana ili kupata mtu anayefaa kutuongoza. lakn hili la kuangalia sura hatutafika. kuna mtu ambaye mafanikio yake ni kuwacheza watoto wake unyago na kufanya sherehe mbalimbali.hilo ndo zuri kwake, mkimpa nchi hawez kuangalia mambo makubwa kama hayo. ila mm najua aliyetuloga ni yule aliyesema kuwa tunatakiwa tuongozwe na mtu anayetoka kwenye jamii iliyonyuma kimaendeleo kwa hofu kuwa walio mbele wakiongoza wataWANYONYA walio nyuma. tafakari
 
Ipo siku viongozi wetu wa hapa Tanzania watajua njia ya haki ili waongoze kwa haki na kwa kutenda haki kwa walio wengi
 
Sababu akili ndogo inatawala akili kubwa
 
Back
Top Bottom