DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Pole sanaHawa sasa ndio majambazi kabisa... Yaani sina ham nao kabisa!! Bandle linafyekwa utadhan sim imetoboka!!
mimi natumia line ya chuo ,hayo matatizo sijawahi yapata
Pole sanaHawa sasa ndio majambazi kabisa... Yaani sina ham nao kabisa!! Bandle linafyekwa utadhan sim imetoboka!!
Kwa nn mbona wanatoa gb nyingi tu... Kwa mfano wana gb 10 kwa sh 10000 siku 15
Yalishanikuta nayo, nikawahama nikahamia TTCLHahaha
Airtel ni jipu nilijiunga 10GBs nikatumia 49Kbs daah
Bora nikomae na voda yangu japo ni ghali
Hii unafanyaje chief?natumia voda daily bundle 2,000/= kwa 1GB nahisi hii itanisaidia.mwanzo nilikuwa mgonjwa wa airtel ila nimewama kwa ugoi goi wao.Kwa nn mbona wanatoa gb nyingi tu... Kwa mfano wana gb 10 kwa sh 10000 siku 15
*149*01#-2Hii unafanyaje chief?natumia voda daily bundle 2,000/= kwa 1GB nahisi hii itanisaidia.mwanzo nilikuwa mgonjwa wa airtel ila nimewama kwa ugoi goi wao.
800 Mb kwa 500 masaa 24 Yakhe.1gb kwa jero cha chuo