martini enock
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 634
- 271
Hapa natumia Airtel haijawahi kuniangusha
Mimi suala la kifurushi daima Airtel, vifurushi vya chuo mwendo mdundo!!
Airtel ndo mpango mzima nimejiunga jana gb 2 dak 110 sms unlimited kwa siku tatuHapa natumia Airtel haijawahi kuniangusha
Hawa sasa ndio majambazi kabisa... Yaani sina ham nao kabisa!! Bandle linafyekwa utadhan sim imetoboka!!Tumia Halotel
Usirogwe Kujiunga na Kifurushi cha Airtel. Utajuta kupoteza pesa mbayo ungempa Maskini angekuombea Kheri. au ni bora ununue maziwa unywe. ni bora ununue juice unywe. airtel wamekuwa wahuni wezi na watu wa hovyo. kifurushi chao kwenye simu hakifungui hata google. kita search kwa muda mrefu sana na kikija kukubali kitakwambia page not found. kimekuwa cha hovyo sana.
huwezi kudownload au ku update.kiuhalisia wamekuwa wezi na wizi wao naona kama umehalalishwa maana wanaendelea kutuibia huku nasi tunangaalia. kwa sasa naona mtandano ambayo speed yake si haba umekuwa ni tigo mimi ndo hunisaidia. NIMEJARIBU KUTUMIA AIRTEL NIKIWA POSTA, NIKIWA MWENGE,NIKIWA KIJITONYAMA,NIKIWA TABATA KOTE ninafail sana. kila wakati mtandao hauwezi kufungua JF,hauwezi ku upload au hata kufungua FB ,hauwezi hata kutafuta kitu Google.
najiuliza nini tatizo? maana before nlidhan ni simu nimenunua simu nyingine bado hali ni ileile. hizi pesa zangu walizochukua ntarudishiwa vipi au nijirudishie vipi?
Uko mkoa gani mkuu!?Airtel ndo mpango mzima nimejiunga jana gb 2 dak 110 sms unlimited kwa siku tatu
mpaka saivi nimesha shusha 900 mb speed iko poa tu
Uko mkoa gani mkuu!?Airtel ndo mpango mzima nimejiunga jana gb 2 dak 110 sms unlimited kwa siku tatu
mpaka saivi nimesha shusha 900 mb speed iko poa tu
Uko mkoa gani mkuu!?Airtel ndo mpango mzima nimejiunga jana gb 2 dak 110 sms unlimited kwa siku tatu
mpaka saivi nimesha shusha 900 mb speed iko poa tu
1gb kwa jero cha chuoHivi ttcl wana cha chuo bei na bundle zake imekaaje sory kama wajua?
Ingawa wako fast hasa Usiku ila na doubt kama MB wanazotoa ni kweli kulingana na pesa , utakuta kifurushi cha 4Gb una download movie 2 tena za labda 1.4GB unaambiwa kifurushi kimekwisha.ILA tukizungumzia ufanisi na kasi hakuna kama VODACOM 4GHao ndio wezi squared
Now Gb 2mm niliweka bundle airtel one day aisee nilijutaaa mpk line nikavunja ila zamani walikua vizuri sana mwaka 2014 walikua wanatoa mb 800 kwa tsh 1000 mwez nzima
Ingawa wako fast hasa Usiku ila na doubt kama MB wanazotoa ni kweli kulingana na pesa , utakuta kifurushi cha 4Gb una download movie 2 tena za labda 1.4GB unaambiwa kifurushi kimekwisha.ILA tukizungumzia ufanisi na kasi hakuna kama VODACOM 4G
Uko wapi?Airtel ndo mpango mzima nimejiunga jana gb 2 dak 110 sms unlimited kwa siku tatu
mpaka saivi nimesha shusha 900 mb speed iko poa tu