takwimu hizi zinaashiria 2% tu ya wanawake walio kwenye uhusiano wanapata huduma inayokidhi nyoyo zao!!!
Namatoto asije kuwa ananiakti leo nawasha kibatari nimuone vema, kastop wochi pembeni. Ngoja nikagonge bapa fasta.
Hahahaaaaa mkulu umenichekesha! Sasa bapa ni some sort of Viagra or what? Kwanini whisky ikupe support?