ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 15,586
- 59,260
Yeah, ni kweli. ANU na ENK ndo walishuka duniani na kuamua kutegeneza wanadam ili wasaidie katika shughuli zao kv. Kuchimba dhahabu. Ni stori ndefu saaana .....
Sent using Jamii Forums mobile app