Usipohonga yakikukuta usilalamike


Totally rubbish of the highest order combined with insanity. Absolutely.
 
Ukitaka kumtambua mpuuzi basi kagua kazi ya mikono yake...
 

Verses....sing a song.....
 

ok
^^
 
kweli umaskini sio wa hela tuu tulionao watanzania, hata fikra.pole sana mtoa mada.ngoja ukue kwanza,sio umri.
 
Wezi wa wame za watu hawa. Ptuuuuuu

she z havn a very happy family wth three kids. So she is actually speaking from xperience sio nyie wa kukariri ndoa ndoa ndoa. Mwenzio katoka kucelebrate her 5th annivesary ya ndoa upo? Narudia tafuta HELA.
 
Ukitaka kumtambua mpuuzi basi kagua kazi ya mikono yake...

who r u 2 judge? r u dat much perfect...! Mpuuzi atafanyaje kazi ikaonekana ukapata la kutizama??? Ukitaka kumjua zisiyemtosha sikiliza kauli zake.
 

Mtoa mada ameamua kuwa kahaba full stop..
Mungu akukosea alipoumba watu na jinsia zao sema tumekengeuka tu.
Wanyama ambao wanaishi kwa silika KE ndio mtafutaji...
Anza na Kuku jogoo akishampanda mtetea ajui watoto wanakula nini...
Wanyama jamii ya paka...majike ndio wawindaji dume ye kula na kuzalisha tu..
Ukiangalia wanyama wote wapo ivo tokea bustani ya EDEN...
Mwanamke ndio halialibu kila kitu pale alipo mpa penzi nyoka kutokana na tamaa ....
Sasa pale ndio tukaanza kutoa huduma kama adhabu lakini kuchunga familia sio responsible ya ME tokea EDEN....
 
AKILI, KIASI NA UCHAJI ndo hututofautisha na wanyama wengine. UTU wako uko wap? Usnambie unayataman maisha ya kuku. Udandie utie mimba usepe, matunzo atajua mama watoto. haaaahaaa ur ryl smthn else.
 
Mwanamke atabakia kua mwanamke, kama umelelewa Kwenye maadili mema basi hata uwe unapata mshahara Mkubwa kuliko mumeo hashima inabaki pale pale Kua yeye mume na wewe nimke, pesa ni matokeo na huwezi kujua kesho mumeo atakua Nani au mungu atakushusha chini kiasi gani, wacha niishie hapa usimdharau mumeo au hata binadamu mwengine yoyote kisa umemzidi kipato alokupa kiti wewe chakukalia Ndio alompa kumbi mwenzio...
 
Totally rubbish of the highest order combined with insanity. Absolutely.

Can any rubbish much less, combined with insanity be in HIGHEST ORDER? Before you judge get 2 understand wat z comin from ur head. Juct admit t. U hv seen an order ther don u? Give m a clap den.
 
Kwan aliesema anataka kunyenyekewa nan, hzo ndoa za kzaman watu tulio elimika hatuna, tunaheshimiana, kusikilizana, kukubaliana na kukubaliana kutokukubaliana. Ckuhz mnawategemea ma beki tatu, kuna kaz gani mnafanya zaidi ya kufuga kucha? Na km style za kitandan kwan kuna mtu anakulazmisha, mbona na nyinyi huwa mnangangania kukaa juu? Sema tu mauno hamyawezi. Mbona suruali mnavaa, hata mkitaka kikojoa huku mmesimama hakuna anae wakataza. Ndoa za cku hz co km zaman kila kitu mnakubaliana. Na kutokana na maisha yalivo mnasaidiana, hyo mwanamke mwenye akiri timam haimpi shida. Ss ww unaetaka u hongwe wkt upo kwenye ndoa duh we mkali. Km tendo la ndoa mwanamke ndo anaenjoy kuliko hata mwanamme, ss cjui unataka akihonge kwa lipi. Naona hujui kwann watu wanahitaj ndoa, maana naona unawashauri wenzako wabaki hvo hvo, unawapoteza. Nyie ndo baadae mnaanza kuiba wanaume za wenzenu maana hao unao wakandia ss watakua tayari na ndoa zao, ss cjui utapga punyeto au utaanza kubaka vjana wadogo wakufanye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…