Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Wewe utakuwa hujafumba macho ndio maana umeona. Nalog offhii kali. Nalog off
Wewe utakuwa hujafumba macho ndio maana umeona. Nalog offhii kali. Nalog off
umenichekesha hadi basi...lol
1.Kujifanya unajua kuandika haraka kumbe unaharibu,1.kuwasha simu yako ya mchina ktk basi kwa sauti kubwa,, ei unasikiliza mziki kupunguza safari.
2. kuvua sigara hadarani
3. kujisifia una mkwanja kijiweni kumbe maskini u.
4. Kushinda masasi kuishi tandika.
5. Kuwa fataki
unatoa business card yenye vyeo lukuki....
ceo,phd,mjumbe wa nyumba kumi,mwenyekiti wa saccos lol
kukojoa huku unakula. Nalog off
Mkono mmoja unashika dudu mwengine unashika chapati,je? Kuna miujiza hapo? Nalog offNaita muujiza!
1.Kutembea huku unaning'iniza mbele funguo za Gari.
2.Kuchomeka mafunguo ya ofisi kwenye suruali kama bwana jela
3.Kuongea na mtu huku umemsogelea usoni karibu huku ukijua kuwa mdomo wako unanuka.