Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 591
Cc: Marehemu Reginald Mengi, alikuwa anapenda kusaidia watu kwa kutumia pesa, lkn tumeona yaliyomkuta, unaambiwa mpaka amefariki alikuwa hana hela, migodi ya dhahabu aliifunga yote, ITV haileti hela, aliishia kubakiwa na Bonite tu