Usipende sana kusaidia watu kwa kutumia pesa zako, la sivyo utaishia kufilisika

"Profesa Kabudi na Waziri Mpango wanazungumza tu hawataki kusema lakini kama ni pumbavu kwenye simu wametukanwa mno, waulizeni wapo hapa, wananizidi umri lakini pumbavu zinakuja tu harakaharaka zenyewe, ndio ukweli kwa sababu hii kazi sio ya kubembelezana lazima tuipeleke kijeshi" - @MagufuliJP #MwananchiUpdates
 
"Profesa Kabudi na Waziri Mpango wanazungumza tu hawataki kusema lakini kama ni pumbavu kwenye simu wametukanwa mno, waulizeni wapo hapa, wananizidi umri lakini pumbavu zinakuja tu harakaharaka zenyewe, ndio ukweli kwa sababu hii kazi sio ya kubembelezana lazima tuipeleke kijeshi" - @MagufuliJP #MwananchiUpdates
Pumbavu hii ni yako.

How do you like it?
 
Write your reply...kusaidia Ni Jambo jema ila yategemea unasaidia katika kiwango kipi ,hupaswi kusaidia ukapitiliza kiasi Cha ww kutokuwa nacho lazima ujingalie kwanza na kutadhmini usaidizi unao utoa unamatokeo gani kwako
 
Hahaha aise mbona Wana dhalilishwa mno kiasi hicho duh! !!! Muda sio mrefu atatuambia kuwa huwa anawapiga makofi. ..

Ila naona umemtukana mtoa Mada kwa fasihi. .
"Profesa Kabudi na Waziri Mpango wanazungumza tu hawataki kusema lakini kama ni pumbavu kwenye simu wametukanwa mno, waulizeni wapo hapa, wananizidi umri lakini pumbavu zinakuja tu harakaharaka zenyewe, ndio ukweli kwa sababu hii kazi sio ya kubembelezana lazima tuipeleke kijeshi" - @MagufuliJP #MwananchiUpdates
 
Cc: Marehemu Reginald Mengi, alikuwa anapenda kusaidia watu kwa kutumia pesa, lkn tumeona yaliyomkuta, unaambiwa mpaka amefariki alikuwa hana hela, migodi ya dhahabu aliifunga yote, ITV haileti hela, aliishia kubakiwa na Bonite tu
Hivi kwanini wabongo tunapenda sana kuamini kila kitu tunachokiona/kusikia kwenye mitandao!!?

Halafu unaandika kwa ushupavu kabisa..
Watz huwa tunajivika ukaribu na watu ambao hata hatujui ABC za maisha yao, ila tunajikuta tunajua hadi alipolala alipiga goli ngap kwa mkewe..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom