Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Umenikumbusha nyimbo moja ya Luck Dube- The hand that givethHuwa ulimsaidia mtu pesa ni rahisi kujifungua ridhiki
Mkono unaotoa ndio mkono unaopokea.
Umenikumbusha nyimbo moja ya Luck Dube- The hand that givethHuwa ulimsaidia mtu pesa ni rahisi kujifungua ridhiki
WACHA UVIACHE KULIKO VIKUACHE WEWE UKIWA HAIKusaidia ni inborn character, huwezi kumfundisha mtu kusaidia au kutosaidia. Waache wenye moyo huo waendelee kusaidia. By the way, hizi mali na utajiri tutaviacha tu hapa duniani.
ANAJENGA JINAMisaada mingine inakuwa kweli au ni kuuza sura tu. Eti Rostam kaisaidia Yanga 300m,hana ndugu wa kuwapa?
Wewe baki na roho yako mbaya. Usitufundishe namna ya kutoa msaada maana wakati tunazitafuta haukuwepo.Cc: Marehemu Reginald Mengi, alikuwa anapenda kusaidia watu kwa kutumia pesa, lkn tumeona yaliyomkuta, unaambiwa mpaka amefariki alikuwa hana hela, migodi ya dhahabu aliifunga yote, ITV haileti hela, aliishia kubakiwa na Bonite tu
Kusaidia ni inborn character, huwezi kumfundisha mtu kusaidia au kutosaidia. Waache wenye moyo huo waendelee kusaidia. By the way, hizi mali na utajiri tutaviacha tu hapa duniani.
Cc: Marehemu Reginald Mengi, alikuwa anapenda kusaidia watu kwa kutumia pesa, lkn tumeona yaliyomkuta, unaambiwa mpaka amefariki alikuwa hana hela, migodi ya dhahabu aliifunga yote, ITV haileti hela, aliishia kubakiwa na Bonite tu
Daah kweli ww bogus sasa izo ela ata kama angekuwa nazo kama wewe usiyesaidia watu angeenda nazo uko kaburini eeeh au angewaachia mabogus kama wewe mtumbue.Cc: Marehemu Reginald Mengi, alikuwa anapenda kusaidia watu kwa kutumia pesa, lkn tumeona yaliyomkuta, unaambiwa mpaka amefariki alikuwa hana hela, migodi ya dhahabu aliifunga yote, ITV haileti hela, aliishia kubakiwa na Bonite tu
Hujamuelewa mtoa mada ,ishu si kutoa ,ishu ni kutoa cash ,hakuna tajiri anauwezo wa kulea yatima wote wala wajane wote hata akijipiga mnada ,unachotakiwa usijipe obligation yoyote ,mengi alijiwekea kila tarehe fulani anatoa pesa fulani huku anaita mamedia ,hivi unajua bakhresa misaada anayotoa ? anajengea hadi watu nyumba ila yeye hana vya muendelezo au obligation akikuta failia zimepata mafuliko ziko mtaani anajenga nyumba za bajeti ndogo 30 kimya kimya anaita anawagawia kimya kimya anawapa mtaji milion mbili mbili ,anatemana nao .mambo ya kuitwa baba sijui mkombozi hana huo muda ,inamaana siku bakhresa akiyumba hatoi na hakuna wa kulalamikaWewe baki na roho yako mbaya. Usitufundishe namna ya kutoa msaada maana wakati tunazitafuta haukuwepo.
Kusaidia ni inborn character, huwezi kumfundisha mtu kusaidia au kutosaidia. Waache wenye moyo huo waendelee kusaidia. By the way, hizi mali na utajiri tutaviacha tu hapa duniani.
Hapo nimekusoma mzee baba. Sina tena tatizo na mtoa mdadaHujamuelewa mtoa mada ,ishu si kutoa ,ishu ni kutoa cash ,hakuna tajiri anauwezo wa kulea yatima wote wala wajane wote hata akijipiga mnada ,unachotakiwa usijipe obligation yoyote ,mengi alijiwekea kila tarehe fulani anatoa pesa fulani huku anaita mamedia ,hivi unajua bakhresa misaada anayotoa ? anajengea hadi watu nyumba ila yeye hana vya muendelezo au obligation akikuta failia zimepata mafuliko ziko mtaani anajenga nyumba za bajeti ndogo 30 kimya kimya anaita anawagawia kimya kimya anawapa mtaji milion mbili mbili ,anatemana nao .mambo ya kuitwa baba sijui mkombozi hana huo muda ,inamaana siku bakhresa akiyumba hatoi na hakuna wa kulalamika
BRO WANADAMU HAWANA SHUKRANI UNAPOWASAIDIA MSAIDIE MUNGU KWA KUSHUKURU KWAKE KUWA ANGEAMUA UNGEKUWA HAO BASI ,LEO WATOTO WA MENGI UKIACHA MAJANGA YA KUETEWA KAHABA KWENGE MALI ZAO HALALI PIA WAMEPEWA ULIDHI WA KUSAIDIA KUNAKOZIDI UWEZO WAO
Hapana, huyo rapa hua namsikia tu.Wewe ndio real Daniel Kigozi aka Navio wa Klear Kut?
Kussidia ni hulka mtu aliyezaliwa nayo mkuuu hiii ni tabia ya mtu, ni Kama mwizi ambae amezaliwa na tabia hiyo ataacha Leo kesho atataka kuiba hivyo acha uchoyo Mali zote tumezikuta hapa duniani tutaondoka tutaziachaWrite your reply...kusaidia Ni Jambo jema ila yategemea unasaidia katika kiwango kipi ,hupaswi kusaidia ukapitiliza kiasi Cha ww kutokuwa nacho lazima ujingalie kwanza na kutadhmini usaidizi unao utoa unamatokeo gani kwako
Hata Kama hutasaidia, ukitaka kufilisika utafilisika tu? Kupata na kukosa ni sawa na kuendelea kuwa navyo au kuishiwa, kumbuka MUNGU akiamua kukunyanganya atakunyanganya hata Kama hujawahi kutoa msaaada wowote tegemea MUNGU kwa kila jamboCc: Marehemu Reginald Mengi, alikuwa anapenda kusaidia watu kwa kutumia pesa, lkn tumeona yaliyomkuta, unaambiwa mpaka amefariki alikuwa hana hela, migodi ya dhahabu aliifunga yote, ITV haileti hela, aliishia kubakiwa na Bonite tu
Sina shaka na uelewa wakoHapo nimekusoma mzee baba. Sina tena tatizo na mtoa mdada
Uzushi mtupu, unadhani Mengi alikuwa anungaunga kama mshua wako!!?Cc: Marehemu Reginald Mengi, alikuwa anapenda kusaidia watu kwa kutumia pesa, lkn tumeona yaliyomkuta, unaambiwa mpaka amefariki alikuwa hana hela, migodi ya dhahabu aliifunga yote, ITV haileti hela, aliishia kubakiwa na Bonite tu
Kama wewe unavyonisaidia..i love you crazyMkuu umeongea bonge la point, kuna mtu anaposaidia hupata amani moyoni sana
Kama wewe unavyonisaidia..i love you crazy