Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Mwanzoni alikuwa ni dada mpole, mwenye lugha laini na mnyenyekevu. Miaka miwili baadaye baada ya kufanya kazi ya uafisa mikopo kwenye benki flani anajua lugha zote za vitisho, matusi, kejeli na ubabe wa kila namna.
Ama kweli hii kazi imemharibu huyu mwanamke!
Ama kweli hii kazi imemharibu huyu mwanamke!