Huyo mbona cha mtoto,usiombe uwe na mwanamke anafanyia mahakamani.
Pata pesa tujue tabia yako
kazi zote huathiri wahusika......ndo maana hata walimu sometimes huwa kama watoto
sababu ya kushinda kutwa na watoto
maaskari magereza nao tabia ka za wafungwa sometimes
Pata pesa tujue tabia yako
kazi zote huathiri wahusika......ndo maana hata walimu sometimes huwa kama watoto
sababu ya kushinda kutwa na watoto
maaskari magereza nao tabia ka za wafungwa sometimes
Na ndio maana migomo ya walimu inafeli...hawana msimamo kama mitoto
Kuna tofauti ya KAZI na TABIA ya mtu. Aina fulani ya kazi haiwafanyi watu wa kundi hilo wafanane kwa tabia.
^^
kwahiyo afisa mifugo akili yake inakuwa kama mifugooo??????
kwahiyo afisa mifugo akili yake inakuwa kama mifugooo??????
Weeeeee..... Sasa mchukuwe mfanyakazi wa mochwari akawe mhudumu wa hotel pale kempisk uone....Kuna tofauti ya KAZI na TABIA ya mtu. Aina fulani ya kazi haiwafanyi watu wa kundi hilo wafanane kwa tabia.
^^
Pata pesa tujue tabia yako
kazi zote huathiri wahusika......ndo maana hata walimu sometimes huwa kama watoto
sababu ya kushinda kutwa na watoto
maaskari magereza nao tabia ka za wafungwa sometimes
Kuna tofauti ya KAZI na TABIA ya mtu. Aina fulani ya kazi haiwafanyi watu wa kundi hilo wafanane kwa tabia.
^^
Pata pesa tujue tabia yako
kazi zote huathiri wahusika......ndo maana hata walimu sometimes huwa kama watoto
sababu ya kushinda kutwa na watoto
maaskari magereza nao tabia ka za wafungwa sometimes