hakika utakufa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,789
- 819
Mzaha huu ni sehem ya kuharalisha mabaya yanayofanywa na watawala ila iko siku tutatia adabu ila kwa staili you ndg zangu katu hatutopiga panda mbele
Katumia lugha ya picha mkuu we muelewe tuHizo picha mbona kama si za kweli...
MbwaSimba, tembo na huyo mwengine ni nani?
Si kweli. Simba tembo mbogo twiga chui wote hao chatu hatii mguu. Isitoshe chati akishajeruhiwa kwa kuchanwa hana ubavu wa kuviringisha mnyama.Mkuu unabisha nini si unaona hapo kakalishwa chatu akisha kuzunguka tu huna ujanja!
!......Rafiki kumbuka bado kidogo utadukuliwa ujue!18 za Chatu wa Chato ni hatari Zaidi aisee.
Picha zenyewe za kubumba
gogo usimtupie utaukosa ushindi
Natoa tahadhali kwa anae mchezea chatu ni hatari
Anaweza asipate lolote la manufaa
Na ajali imkute bila ya kutegemea