Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,276
- 17,981
Taratibu, bado tunakuhitaji humu jamvini!18 za Chatu wa Chato ni hatari Zaidi aisee.
Taratibu, bado tunakuhitaji humu jamvini!18 za Chatu wa Chato ni hatari Zaidi aisee.
Mkuu hukumla watam sana hawa ladha yao kama vibuaHuyu chatu mtoto wake ni naye nimemuua juz hapaView attachment 459398
Umenikumbusha hii sentensi .....andika sasa andika sana lakini kuna siku utajikuta pekeyako na chatu. ..!
Hahahaha ati chatu wa chato18 za Chatu wa Chato ni hatari Zaidi aisee.
Wewe ni cha2?Siyo Simba, Siyo Chui, Siyo Mamba, ngozi yangu inatosha kujigamba!
Wewe ni cha2?
Pamoja sana kaka sijamwona lakiniNimeona hiyo picha nikaukumbuka huo wimbo, so jamaa ajiite CHATO tu!
Mkuu nimeona scorpio me alikuwa anakutafuta kwa udi na uvumba, vipi umemwona?
Heri ya mwaka mpya kaka.
Pamoja sana kaka sijamwona lakini
Pamoja sana kaka sijamwona lakini
Ooh ngoja nkwendeMshana yo sooo missed i swear....
Ila mkuu itabidi tu nikutafute baadhi ya mapande uwe unanipunguzia!
Mshana yo sooo missed i swear....
Ila mkuu itabidi tu nikutafute baadhi ya mapande uwe unanipunguzia!
Ukiacha hiyo ya Tembo, hizo zingine nimeziona kwenye Youtube, Simba kabanwa lakini naye Kamchana vibaya Chatu!Hizo picha mbona kama si za kweli...
Photoshoped Image...hakuna hata moja ya ukweli hapoHizo picha mbona kama si za kweli...
Yule si ni Faru John?18 za Chatu wa Chato ni hatari Zaidi aisee.