Usiolewe na mwanaume masikini

Usiolewe na mwanaume masikini

Ni kweli, kigezo cha mume mwema si pesa ila point niliyounga mkono ni kuwa mtu anapokuwa hana pesa anaoa mtu anayeweza kumu-afford.... Mtu anakuwa anatamani mwanamke aina ya Grace ila kwa kuwa Grace matawi ya juu na yeye hana pesa anaamua kumuoa mwajuma ambae hana makuu na siku zote atakuwa yuko na mwajuma ila mawazo yapo kwa Grace, siku akipata pesa za kuweza kuwa nae anaona yule mwajuma aliyemuoa hana maana tena. Sikatai wapo maskini anaooa kwa mapenzi lakini wapo ambao wanakuoa kwa sababu hawana jinsi ndio uwezo wao ulipoishia (hawa ndio wabaya sasa)
Comments zako ulisema alichoandika ni sahihi kwa 100% !!, nawashauri wanawake, usikimbilie mwanamme mwenye pesa, tafuta mwanamme wa kukuoa ambae atakuheshimu wewe na wazazi wako, atakuthamini, mtu mwenye pesa atakufanyia kinyume cha hayo, sijui kwa nini wanawake hamjifunzi, mimi nilioa baada ya kumaliza masomo kwa maana hiyo sikua na pesa lakini mpaka hivi sasa zaidi ya miaka 20 sikuwahi kifikiria eti sijui mwanamke mwingine, nampenda na kumheshimu mke wangu
 
Nyie tulieni mtaichek show mwaka huu tumedhamiria.

Wanaume wenye pesa wameoa wanawake wenye kustahili kuolewa, nyie mashori wa insta bahati hiyo hamjatunukiwa
 
Ukisubiri Mwanaume mwenye kipato ujue kuna mtu amekitafuta nae hivyo haitachukua raundi utajiengua tu
 
Nakunukuu "Wanaume wengi tuna wanawake wa
ndoto zetu ila kutokana na kuwa
nakipato kidogo tunashindwa fikia
malengo ya kuwa na wanawake wa
ndoto zetu na kuchukua mwanamke
yoyote ambae ni cheap tunae weza
kum afford"

KWAHIYO UKIWA NA KIPATO KIDOGO NDO HUWEZI KUMPATA MWANAMKE WA NDOTO ZAKO???

-WANAWAKE WA NDOTO ZAKO AMBAO HUWEZI KUWAPATA KUTOKANA NA KIPATO KIDOGO NI KAMA WAPI???
 
Umaskini mbaya wa akili na fikra. Umaskini wa kipato mkiwa serious mnauondoa wewe na mke wako. Mimi nilikataliwa kwa wakwe zangu miaka 12 iliyopita kisa umaskini wa kipato. Ni kweli by then sikuwa na chochote Zaidi ya simu yangu ya tochi. Lakini leo 12 baadaye na huyo huyo mpenzi wangu by then ambaye leo ni mke wangu tuna nyumba mbili za kisasa na za kudumu (moja na mjini na ya pili ya shambani), tuna viwanja vingine 3, tuna shamba ekari 40, tunasomesha watoto wetu 3 engilish medium nzuri kabisa. Changamoto za umaskini hazijaisha lakini tunapambana nazo. Tumejizatiti siku moja kuishi kama Mfalme na Malkia.
 
Hii sredi tuwaachie waolewaji...
 
Binafsi naona kama mwanaume anauwezo wa kupata kipato cha kujikimu kwa kila mwezi kwa mahitaji ya msingi ya familia yatosha kwa kuanzia!

Lakini eti iwe sifuri kabisa hapana aisee!

Huo sasa utakuwa mtihani!

Na mwenye hela nyingi hapana maana wengi malaya

Ni wanaume wachache sana ukute anahela halafu ametulia kwa hapa bongo na Africa kwa ujumla!
 
Hata wachungaji wengine wanapopokea taarifa ya vijana kutaka kuoana huwa wanamuuliza kijana unajishughulisha na shughuli gani ya kuingiza kipato cha kuweza kutunza familia?

Japo kwa mahitaji ya msingi Yani chakula, malazi na mavazi!
 
Bila kumumunya maneno mwanaume anatakiwa asiridhike na maisha ya kulelewa!

Mwanaume wajibu wake mkuu ni uwezo wa kutunza familia kwa kuihudumia mahitaji ya msingi chakula, mavazi na malazi.

Ikitokea iwe kwa kipindi cha mpito na siyo kwa miaka mingi!
 
Bila kumumunya maneno mwanaume anatakiwa asiridhike na maisha ya kulelewa!

Mwanaume wajibu wake mkuu ni uwezo wa kutunza familia kwa kuihudumia mahitaji ya msingi chakula, mavazi na malazi.

Ikitokea iwe kwa kipindi cha mpito na siyo kwa miaka mingi!
Miaka mingi ni miaka mingapi ??
 
Miaka mingi ni miaka mingapi ??

Nilitarajia hilo swali!

Haitarajiwi kuwa miaka mingi zaidi ya miwili mitatu kwa mfano.

Jibu lake ni kwamba nazani inategemea na mambo kadha wa kadha !

Mfano:
1. Je mke anafanya kazi? Je ni kazi rasmi au siyo?

2. Je kuna namna nyingine ya kupata msaada wa mahitaji ya msingi ? Mfano support toka kwa ndugu?

3. Je huyo mwanaume husika anaonesha nia na utayari wa kutafuta kazi yoyote halali itakayompa riziki?

4. Tabia na nyendo na swala la uaminifu wa huyo mwanaume unaridhisha?
 
Nilitarajia hilo swali!

Haitarajiwi kuwa miaka mingi zaidi ya miwili mitatu kwa mfano.

Jibu lake ni kwamba nazani inategemea na mambo kadha wa kadha !

Mfano:
1. Je mke anafanya kazi? Je ni kazi rasmi au siyo?

2. Je kuna namna nyingine ya kupata msaada wa mahitaji ya msingi ? Mfano support toka kwa ndugu?

3. Je huyo mwanaume husika anaonesha nia na utayari wa kutafuta kazi yoyote halali itakayompa riziki?

4. Tabia na nyendo na swala la uaminifu wa huyo mwanaume unaridhisha?
Hiyo namba 4 mbona haihusiani na mada husika ?, wewe unachanganya mambo, unasumbuliwa na wivu, mtu anaweza kutafuta kazi hata zidi ya miaka mitano, nchi yenyewe hii, hata kazi mbadala zina migogoro yake kwa mfano wakullima wa korosho, si umesikia mtu alipeleka korosho yake mwezi november mwaka jana mpaka leo hajalipwa, angekuwa ndio mume wako unafanyaje ?
 
Hiyo namba 4 mbona haihusiani na mada husika ?, wewe unachanganya mambo, unasumbuliwa na wivu, mtu anaweza kutafuta kazi hata zidi ya miaka mitano, nchi yenyewe hii, hata kazi mbadala zina migogoro yake kwa mfano wakullima wa korosho, si umesikia mtu alipeleka korosho yake mwezi november mwaka jana mpaka leo hajalipwa, angekuwa ndio mume wako unafanyaje ?



Ikitokea hivyo mfano kuhusu mambo ya korosho itaeleweka
 
kwanini mnawadanganya wanawake kiasi hichi ? Umasikini kipimo chake nini ? Mkimalizaga chuo na mkiwa na mabando ya buku mnasumbua sana raia daaah
 
A wife is the woman you need.. A slut is the one you may want but mostly is for prestige.. When you miss her you won't die... Missing something you really need can lead you to kick the bucket
IMG_20191108_164223_234.jpeg
 
Welcome to Tanzania, the only country where you need to be rich to date broke women!
 
Umasikini wa Nini? Wa sperm, wa upendo, wa uvumilivu, wa nguvu za kiume, wa kipato au wa Nini?

Umasikini wa kipato Ni rahisi Sana kuushinda hasa mkiwa mwapendana kwa dhati.

Vichwa viwili vitafanya Mambo makubwa.

Lakini mumeo akiwa ni tajiri wa mali na ni masikini wa upendo, utajuta kuzaliwa. Utanyanyaswa wewe, utadharaulika wewe, utatukanwa wewe na wazazi wako, Tena atakwambia kabisa hapa umefuata mali tu wewe.

Ushauri wangu ni huu. Kama unataka kuoa, muombe Mungu akupatie mwenzi wa kufanana naye, mwenye upendo na atakayeweza kukuvumilia katika yote.

Mkweli asiye mnafiki, mzandiki Wala mtu wa shirki
Umeongea sahihi
 
Back
Top Bottom