Usiogope kama mumeo ana kibamia

Usiogope kama mumeo ana kibamia

I think you've got to go back to school. Hakuna uhusiano wowote kati ya uume mdogo na uwezo wa kutungisha mimba. Read a bit about "low sperm count" and "poor sperm quality"...
Otherwise "kibamia" isn't the cause of men infertility.
 
Mmnh sikujua km nitapata hii....nilikua nataka kuwapa moyo kaka zangu wenye maumbo madogo wasiwe na wasi wasi......

By the way sio kila mtu anaejaculate ana uwezo wa kumpa mtu mimba kuna sperms volume and counts zina matter pia..

Catchu letterz
najua nia yako haikuwa mbaya,u were just trying to help,jibu tu hoja kwa kadri utavyoweza
 
Mtoa mada is all woman. Hapa ndipo unapoona tofauti ya vipau mbele vya mwanaume na mwanamke. Wakati mwanaume ana hofia kutokumfikisha mwenza wake, mwanamke ana hofia kutokuweza kushika ujauzito.
 
Yaani iyo kitu sitaki inaumiza MTO chini dushe yote inaingia haaaa teh teh teh sitaki
Wewe umeambiwa wenye vibamia hata ikiingia yote haifiki mbali sana utamalizia vizuri tu wala haiumi.
 
Aihitaji dushe liingie sehemu ya kukojolea mwanamke ili ashike mimba. kama akiwa kwenye siku zake za kushika mimba, hats ukipiga nyeto halafu ukazipakaza kwenye K yake, ataweza kupata ujauzito.
 
AHAHAHAHAHAHAHAHA....VIPAUMBELE VYA MGOMBEA WANGU VILIKUWA NI VITATU

1- ELIMU

2- ELIMU

3- ELIMU.
 
Hello friends

Km mumeo ana kibamia, still he can impregnate you.

Wakati wa sex, usikae woman on top,instead muache akae juu,inua miguu yako km kifo cha mende ila uweke mto chini ya makalio. Uwe umejibinua kidogo hapo ndo sperms zitafuata mtririko wa kwenda kuingia kny yai la mwanamke.

Najua kuna wanaume wengi wako sensitive na hii kitu,'will I be able to get a child of my own? yes u will!

Kuna ufunguo kwa kila kitasa!
Dogo acha kudanganya watu wazima hapa suala la kupiga mimba halina uhusiano na mkao wala kibamia..
Mwanamke akishakuwa kwenye Siku za hatar hata sperm ziwe mwanzon mwa mashavu ili mradi tu zimegusana na ute wa kwenye **** hapo tayar lazma unase..

Hujiulizi kwann ukiwa kwenye heat unakuwa na hamu ya kugongwa halafu **** inakuwa ute mwingi
 
Nyie mnaosema nirudi shule, nyie ndio mrudi...

Mnaleta biology mliyosoma miaka hiyo...hamjui ht km syllabus imebadilishwa mara nyingi tu.....

With biology research and findings inatokea kila leo..ni nyie kujiupdate tu .

Search engines zipo kibao, ni wewe tu kufanya research ndogo... Effortlessly utapata majibu.... Rather than spending a lot of time kushinda kny mtandaoni kutukanana...

JF ni mtandao wa kuelimishana,kufurahishana sio mtandao wa kutukanana...

Bye for now
 
Nyie mnaosema nirudi shule, nyie ndio mrudi...

Mnaleta biology mliyosoma miaka hiyo...hamjui ht km syllabus imebadilishwa mara nyingi tu.....

With biology research and findings inatokea kila leo..ni nyie kujiupdate tu .

Search engines zipo kibao, ni wewe tu kufanya research ndogo... Effortlessly utapata majibu.... Rather than spending a lot of time kushinda kny mtandaoni kutukanana...

JF ni mtandao wa kuelimishana,kufurahishana sio mtandao wa kutukanana...

Bye for now
 
Ulishakutana na vibamia vingapi hadi uandikapo post hii? Vingapi viliku impregnate? Ulishakutana na nchi 32 ngapi hadi uandikapo post hii? Ngapi ziliku impregnate? Tupe majibu yako tuyafanyie analysis halafu tukubaliane au tukatae ushauri wako.
 
Nyie mnaosema nirudi shule, nyie ndio mrudi...

Mnaleta biology mliyosoma miaka hiyo...hamjui ht km syllabus imebadilishwa mara nyingi tu.....

With biology research and findings inatokea kila leo..ni nyie kujiupdate tu .

Search engines zipo kibao, ni wewe tu kufanya research ndogo... Effortlessly utapata majibu.... Rather than spending a lot of time kushinda kny mtandaoni kutukanana...

JF ni mtandao wa kuelimishana,kufurahishana sio mtandao wa kutukanana...

Bye for now
Bado hujajibu maswali we mleta mada. Uume mfupi unahusikaje na uwezo wa kumimbisha? Na uume mfupi(kibamia) ni kuanzia inch/cm ngapi?

Kuna wanaume wana uume mfupi, kulingana na aina ya wanawake wanaokutana nao(wao wana kina kirefu cha uke), and vice versa is true. Sasa ukisema tu "uume mfupi" wakati umeleta chapisho unaloita la kitaalamu, unaishusha taaluma kwa asilimia kubwa sana.
 
Yaani iyo kitu sitaki inaumiza MTO chini dushe yote inaingia haaaa teh teh teh sitaki

Kasema hiyo mbinu ni kwa sie wenye vibamia, hata ikiingia yote hutaumia nadhani.

Asante mleta thread kwa kutupa moyo vibamia, maana kila siku Evelyn Salt anatuponda, bora uwe mtetezi wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom