Usioe mwanamke aliyepitia maisha ya kuishi mwenyewe

Vipi mtungi wa gesi hautaisha, au umeshapata ma kuajujazia ?

Siku wanawake mkiacha kuvaa pedi ndio mtajua mnaweza kujilinganisha na wanaume "tusiojitambua".

Hata kama hatujitambui vipi ila hatuvai pedi na ndio tunaweza kuchagua ndo maana tumewaoa wengine wewe na vibibi wengine tumewaacha.

Kuwa na heshima hata kidogo kwa maana kuvaa pads kulichangia pia ww kuletwa duniani. Punguza mihemko na jifunze kuheshimu wanawake.
 
Usioe mwanamke ambae anafuture... Anaweza kuwa raisi...

Tafuta vigagula visivyojielewa..Hawa ndo wanaheshima
 
Mbwata hilo
Kuna manzi alikuwa anaishi geto nikaanza nae mahusiano kiukweli niliona ni mwema sana na anajituma kimaisha!!nyumbani kwao ni watu wa maadili ila wazaz wake wanaishi rombo na ni wastaarabu sana.

Huyu dada kiukweli namuelewa sana lakini huwa napenda kujiridhisha ingawa kuna jambo au mambo yalinishtua sana..
kuna siku alinipa sim yake nikamuekee glass protecta ajab kwa ushamba wake akanipa na pasword.
nilivoeka protecta nikawa nasoma mesej zake ingawa zipo za wanaume wanamtongoza wengine wanamhitaji pia tena wamle hizo hazijanishtua sana km kuna mtu amemsave MCHUNGAJI.

Mchungaji anaelezwa kila jambo na huyu dada yaani kila kitu hadi siri zake hadi watu anaowadai hawatak kumlipa,
mchungaj amekuwa anamuelekeza hadi mambo ya kishirikina kwamba ampe jina langu na lake.
pia achkue kitambaa afutie manii zangu tukishafanya kisha atampa maelekezo!
mwanzon huyu dada tulikuwa tunaishi tuu km kupoozana ila sasahivi nashangaa ameniingia kichwani sana na mimba amebeba..
hakai geto kwake sasahivi yaani mda mwingi yupo kwangu amekuwa wa kupika na kupakua..
kiukweli mi naona ananifaa sana ila baadhi ya mambo yananiweka njia panda..haswa huyu mchungaj anamwambia aache kuwa na mabwana wengi abaki na mi mmoja tuuu..
mwnzoni tunaanza uhusiano ilikuwa hata wanaume wanampigia anapokea mbele yng hata mi nikipigiwa na madem napokea tuu.
ila sasahivi hafanyi hivyo.
naomba na mi ushauri
 
Wanaume wengu vilaza huwapa wanawake tabia kwa makundi kama hivi. Kama umekutana na pasua kichwa wako wewe sema tu " kimeumana".
Mara hamtaki wasomi, hamtaki wenye hela, hamtaki wenye hoja, hamtaki waliolelewa na mzazi 1, hamtaki warembo!.
INSECURITY NDIO SABABU.
Wote nendeni vijijini ndani ndani huko muoe la nne E.
 
sijapitia uzi wako ila kwa yale nayoyaona huku mtaani, nakubaliana na wewe mdau!

wazazi katika maisha ya kijana ni muhimu sana ila tukumbuke wazazi/mzazi anasehemu yake na dunia ina sehemu yake.

changamoto ipo pale kwenye masomo ya upande wa dunia.
 
Back
Top Bottom