Usioane na Mtu kisa tu Mnapendana

Usioane na Mtu kisa tu Mnapendana

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,400
Reaction score
29,339
Niseme nisiseme?
Tega sikio.

Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.

Sababu hizo ni pamoja na umoja na ushirikiano katika kujenga familia yenu.

Ndoa sio sehemu ya starehe wala kupumzika. Ukiingia kwenye ndoa kwa lengo la kupumzika (hapa wanawake wengi hujidanganya) ujue utakuwa mzigo kwa mwenzi wako.

Hata suala la uaminifu kuna muda sio kipaumbele, inabidi kukubali ukweli kuwa sio rahisi kuwa wa pekee yako…. kikubwa heshima na mambo yanaenda.

Ncha Kali…
 
Upendo ni kitu gani?

Fanyeni maisha (kuzaa na kulea/kujenga future ya kizazi chenu).

Mnakutana mtu amezaliwa Nanjilinji na wewe wa Ihayabuyaga ukubwani mnafikiri mtaishi kwa amani wakati tamaduni, mila, desturi, malezi ni tofauti?


Amueni tu kutafuta uzao na kuuwekea mazingira mazuri. Mkifuatiliana sana mtatoboana macho na kung'oana meno au kupigana risasi au kukatana pumbu.
 
Upendo ni kitu gani?

Fanyeni maisha (kuzaa na kulea/kujenga future ya kizazi chenu).

Mnakutana mtu amezaliwa Nanjilinji na wewe wa Ihayabuyaga ukubwani mnafikiri mtaishi kwa amani wakati tamaduni, mila, desturi, malezi ni tofauti?


Amueni tu kutafuta uzao na kuuwekea mazingira mazuri. Mkifuatiliana sana mtatoboana macho na kung'oana meno au kupigana risasi au kukatana pumbu.

Huo ndo ukweli.

Mkuu unapafahamu Ihayabuyaga?
 
Upendo ni kitu gani?

Fanyeni maisha (kuzaa na kulea/kujenga future ya kizazi chenu).

Mnakutana mtu amezaliwa Nanjilinji na wewe wa Ihayabuyaga ukubwani mnafikiri mtaishi kwa amani wakati tamaduni, mila, desturi, malezi ni tofauti?


Amueni tu kutafuta uzao na kuuwekea mazingira mazuri. Mkifuatiliana sana mtatoboana macho na kung'oana meno au kupigana risasi au kukatana pumbu.
Umesahau kuchomana na gunia la mkaa

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Upendo ni kitu gani?

Fanyeni maisha (kuzaa na kulea/kujenga future ya kizazi chenu).

Mnakutana mtu amezaliwa Nanjilinji na wewe wa Ihayabuyaga ukubwani mnafikiri mtaishi kwa amani wakati tamaduni, mila, desturi, malezi ni tofauti?


Amueni tu kutafuta uzao na kuuwekea mazingira mazuri. Mkifuatiliana sana mtatoboana macho na kung'oana meno au kupigana risasi au kukatana pumbu.
Mkuu Ihayabuyaga imekukosea nini
 
Niseme nisiseme?
Tega sikio.

Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.

Sababu hizo ni pamoja na umoja na ushirikiano katika kujenga familia yenu.

Ndoa sio sehemu ya starehe wala kupumzika. Ukiingia kwenye ndoa kwa lengo la kupumzika (hapa wanawake wengi hujidanganya) ujue utakuwa mzigo kwa mwenzi wako.

Hata suala la uaminifu kuna muda sio kipaumbele, inabidi kukubali ukweli kuwa sio rahisi kuwa wa pekee yako…. kikubwa heshima na mambo yanaenda.

Ncha Kali…
Vigezo Ni Vile Vile Tu Kama Alivyosema Mtume Muhammad Swallah Llahu Alayhi Wasallam
Mwanamke Huolewa Kwa Mambo Manne
Uzuri Wake, Mali Yake, Nasaba/Cheo Chake Na Dini Yake Na Akasisitiza Tutafute Wenye Dini Ili Tupate Kusalimika Zaid
Aidha Kwa Mwanaume Na Yeye Hakuacha Kuusia Pale Aliposema
Atakapokujieni (Kuposa) Yule Ambaye Mmeridhia Dini Yake Na Tabia Yake (Tabia Njema) Basi Muozesheni Na Msipofanya Hivyo Basi Itakuwa Ni Fitna Na Ufisadi Mkubwa

Hizo Zengine Ni Mbwembwe Tu
 
Niseme nisiseme?
Tega sikio.

Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.

Sababu hizo ni pamoja na umoja na ushirikiano katika kujenga familia yenu.

Ndoa sio sehemu ya starehe wala kupumzika. Ukiingia kwenye ndoa kwa lengo la kupumzika (hapa wanawake wengi hujidanganya) ujue utakuwa mzigo kwa mwenzi wako.

Hata suala la uaminifu kuna muda sio kipaumbele, inabidi kukubali ukweli kuwa sio rahisi kuwa wa pekee yako…. kikubwa heshima na mambo yanaenda.

Ncha Kali…
Umeiweka vizuri sana. Wanawake wengi (sio wote) wamejaza akili zao vitu vya kusadikika ambavyo wanaviona mtandaoni. Ukweli uliousema ni machungu japo wengi wataandika mambo yao ya kusadikika, Bible that , Quran this.
Kiufupi kukaa na mtu mmoja maisha yote kunachosha na sio vipindi vyote mtakua na furaha na upendo wenu kuna nyakati mtu anatamani kutoka ila anabaki kusonga mbele lakini pia hazikosekanagi zile siku za furaha na shamla shamla ambazo watu wengi ndio huzizingatia hadi kuweka mtandaoni.
Dada zetu wengi hawataki kusikia ukweli, wanapenda wadanganywe danganywe ili mradi tu unachomwambia ni kizuri. Mathalani, kuna mdada alikuwa amevalia wigi fulani na akapiga powder zake na ilikuwa ni mtoko na kumdinya, tulipokutana niliona kabisa hajapendeza ila nikajua kabisa nikimwambia hujapendeza atanichukia au hata kuwa na raha ikabidi nimdanganye na alifurahi. Hivyo ndivyo walivyo wenzetu, they like good compliments and not truth. Kuna siku mtu wangu akawa ananitumia video clip ya vanesa mdee na rotimi akaipa caption.. Natamani nasisi tuwe hivi. Nikamwambia hiyo ya kusadikika na siwezi kukuhakikishia kwani hayo maisha ya hao watu mara nyingi ni fake. They usually show us good side and not other side of their life. Kiufupi tu ni kwamba., Marriage is overrated and a very sugar coated tablet that carries a bitter ingredients in it.
 
Niseme nisiseme?
Tega sikio.

Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.

Sababu hizo ni pamoja na umoja na ushirikiano katika kujenga familia yenu.

Ndoa sio sehemu ya starehe wala kupumzika. Ukiingia kwenye ndoa kwa lengo la kupumzika (hapa wanawake wengi hujidanganya) ujue utakuwa mzigo kwa mwenzi wako.

Hata suala la uaminifu kuna muda sio kipaumbele, inabidi kukubali ukweli kuwa sio rahisi kuwa wa pekee yako…. kikubwa heshima na mambo yanaenda.

Ncha Kali…
mmh kuna jambo unajaribu kulihalalisha ili tukuunge mkono kitu ambacho hakiiwezekani, unatupotosha
 
Niseme nisiseme?
Tega sikio.

Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.

Sababu hizo ni pamoja na umoja na ushirikiano katika kujenga familia yenu.

Ndoa sio sehemu ya starehe wala kupumzika. Ukiingia kwenye ndoa kwa lengo la kupumzika (hapa wanawake wengi hujidanganya) ujue utakuwa mzigo kwa mwenzi wako.

Hata suala la uaminifu kuna muda sio kipaumbele, inabidi kukubali ukweli kuwa sio rahisi kuwa wa pekee yako…. kikubwa heshima na mambo yanaenda.

Ncha Kali…
Wewe una point ila huelewi uiandike Namna gani. Unachanganya mafile kinoma
 
Upendo ni kitu gani?

Fanyeni maisha (kuzaa na kulea/kujenga future ya kizazi chenu).

Mnakutana mtu amezaliwa Nanjilinji na wewe wa Ihayabuyaga ukubwani mnafikiri mtaishi kwa amani wakati tamaduni, mila, desturi, malezi ni tofauti?


Amueni tu kutafuta uzao na kuuwekea mazingira mazuri. Mkifuatiliana sana mtatoboana macho na kung'oana meno au kupigana risasi au kukatana pumbu.
Mzee wa Nanjirinji kilwa,umenena vyema sana,,niukweli usiopingika kwamba ktk mahusiano more especially ndoa maswala ya malezi,mila nadesturi na mitazamo juu ya maswala mbalimbali vinahusika san kufanya ndoa isonge mbele au iwe ndoano... Mfano watu wapwani mitazamo yao juu yandoa nitofauti kabisa nawatu pengine kutoka kanda ya ziwa,hii inatokana na jinsi mila nadesturi juu yandoa yalivyo.
 
Niseme nisiseme?
Tega sikio.

Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.

Sababu hizo ni pamoja na umoja na ushirikiano katika kujenga familia yenu.

Ndoa sio sehemu ya starehe wala kupumzika. Ukiingia kwenye ndoa kwa lengo la kupumzika (hapa wanawake wengi hujidanganya) ujue utakuwa mzigo kwa mwenzi wako.

Hata suala la uaminifu kuna muda sio kipaumbele, inabidi kukubali ukweli kuwa sio rahisi kuwa wa pekee yako…. kikubwa heshima na mambo yanaenda.

Ncha Kali…
Mkuu naungana naww ,hakika endapo mmoja kati yawahusika ktk ndoa asipojitahidi kutekeleza majukumu yake hugeuka mzigo kwa mwenzie nakufanya ndoa kua ndoano.ndoani hakika sio sehemu kupumzika nakutegmea mwenzio akutendee tu ww uwe mpokeaji, naona nikaburini tu yani.
 
Back
Top Bottom