Upo sahihi Mkuu, ni uchafu sana.Hakuna mtu anayetakiwa kunyonya mtu popote tbh.
Hujui huyu mwanaume anaingia wapi na wapi?! Na Je huko anakoingia ni salama?!
Lakini haya wewe mwanamke, unajua huyu mwanamke ameingiliwa na nani na wapi?! Na hao waliomuingilia nao unadhani wameingia wapi na wapi ..na hao wa huko mbele mbele nao?!!
Kama unampenda mwanamke na Kama mwanamke anampenda mwanaume huwezi kumdhalilisha. If you are equal and sane kuna namna ya kufanya mapenzi.. ukianza kuhisi njia hiyo haitoshi; get another job or go enroll for a short course... Maana kinachokusumbua una muda mwigi wa ziada.
Ni udhalilishaji, mpenzi wako atake umnyonye na sio kufanya nae mapenzi.
Binafsi mwanamke akileta hiyo mambo that will be the last time I ever kiss her... Nina kinyaa like that.
Plus you must value yourself.
Mgusano tu! Yaani ukigusa tu Jasho la muathirika, wazungu haoo!Ugonjwa nauskiaga! Unasababishwa na nn
Ila kwer mmbo mengine Bhana wengine tunaona kinyaa sio kwa harufu zile duh💔Habari zenu Wakuu,
MAPENZI SIO UCHAFU, MAPENZI NI AFYA!
Kama wewe unapenda kunyonywa K naomba usinilazimishe kukunyonya Mbususu yako, sipo tayari kujibebesha magonjwa kwasababu ya kukuridhisha kitandani.
Mapenzi yasiyozingatia Afya ni UJUHA!
Ushauri - Kabla ya kuoana au kuanzisha mahusiano ni vyema mkawekana wazi kuhusu hili suala ili mambo yasiwe mengi.
UZI TAYARI!
Jf ikifika siku kama hizi masheta huwa Yana washukia wazimiaji kwenye bahari ya chumvi kwani wao wanasemaje🤣🤣Kama demu wako hayupo humu, huku ni kutupigia kelele, kamwambie mwenyewe huko.
😂
We jamaaa kwaiyo hazeeki🤣🤣🤣🎶ana kasura ka upole
Miaka nenda rudi hazeeeki🎶
Ng'ombe hazeeki mainiWe jamaaa kwaiyo hazeeki🤣🤣🤣
🤔🤔Oyaaa weeMgusano tu! Yaani ukigusa tu Jasho la muathirika, wazungu haoo!
Nani uyo kajalaNg'ombe hazeeki maini
ManaraNani uyo kajala
😂Huyo mchuchu wako yupo humu?
Same boatIla napenda kunyonya mbususu sijui nimelogezewa