ila uyo wa nyuma kauchapa,msiruke hapa lol
View attachment 39228
Makamu wa raisi alipokuwa kwenye moja ya ziara nje ya nchi, watu wanauchapa tu mtanzania utajijua
hizi ni shibe za viporo au ugongwa kwa hawa watenda kazi wetu
vipi yule kule nyuma?jamaa hajalala, labda kama unataka kulazimisha ila ki ukwelki ni kwamba ni kama anaisoma hiyo karatasi hapo mezani na ukiwa umeangalia karatasi ikiwa chini kama alivyo fanya huyo jamaa ukipigwa picha macho yataonekana kama yamefunga kwasababu hujamkodolea macho mpiga picha, acheni kuzusha mambo kishabiki sehemu watu wanapoteleza basi tuwakosowe ila si kukosoa hadi kisicho kosoleka
inamaana yule wa nyuma hujamuona???hoto:Wewe kwa nini unapiga picha wenzo wakitafakari?
jamaa hajalala, labda kama unataka kulazimisha ila ki ukwelki ni kwamba ni kama anaisoma hiyo karatasi hapo mezani na ukiwa umeangalia karatasi ikiwa chini kama alivyo fanya huyo jamaa ukipigwa picha macho yataonekana kama yamefunga kwasababu hujamkodolea macho mpiga picha, acheni kuzusha mambo kishabiki sehemu watu wanapoteleza basi tuwakosowe ila si kukosoa hadi kisicho kosoleka
Aliyelala ni mlinzi a.k.a. bodyguard, tena anatoka TISS. Pengine alikuwa bored na speech ya anayemlinda!