dahh! Uswahili noma sana
Tutake radhi watu wa sumbawanga sie
Hao watakua walevi tu
Haiwezekani! Kumbe wewe ni jirani yangu? Nilikuwa nafikiri na wewe ni wa Kaskazini.
By the way, kwa udugu wetu wa karibu Tabora na Rukwa naomba radhi ingawa hilo lilikuwa ni swali tu.
hahaaa mie sio wa huko ila nimewahigi kufika huko kipindi fulani..........
Usijali Tabora sehem gani....mama angu kwao huko......
Mimi Tabora mitaa ya National Housing ndipo ilipokulia ingawa kiasili ni wilaya ya Urambo.
Mkuu inawezekana ni mambo ya ushirikina!Washabwia hawa.
Nimefika huko pia...........kwao Mabama.....unakufaham....
Tabora kunanifurahisha ile miti pembeni ya barabara.....
kuna kisa kilinitokea wakati nimeenda huko acha tu....