Nilishamwambia, aliniomba tuonane kwenda kumsikiliza manaanza kuniomba msamaha na kuniomba tufunge ndoa kabla ya Ramadhan kuanza
, nikamjibu, "kwa sasa sihitaji kuishi na mwanamke na hata kama itatokea nikahitaji nitamuoa mwanamke niliyenae" kisha nikaondoka