Usimseme mkeo au mumeo vibaya kwa watu.

Usimseme mkeo au mumeo vibaya kwa watu.

Ndoa nyingi zinaharibika kwasababu mke au mume kumsema mwenzie kwa watu hovyohovyo.Ni vizuri kuongea nyie wawili panapotokea kutokuelewana.Ugumu unatoka wapi,mbona mnavuliana nguo na kushiriki tendo la ndoa?Acheni hii tabia

"kumsema vibaya mke/mume" kwa watu ni kama kumsemaje.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Usikae na mavitu moyoni ni heri useme usaidiwe mawazo..watu wanawasema mpk mama na watoto zao..sembuse binadamu mliyekutana ukubwan

NB:USISEME TU ZILE SIRI ZA KIBAILOJIA MFANO MAMBO YA MAPENZI AU KUNUKA UCHI ILA MENGINE MFANO KAMA ANA MATUMIZI MABAYA YA PESA AU ANAGAWA VITU OVYO UNAWEZA KUSEMA KWA MTU MZIMA AKAKUPA NJIA
 
Umenena vyema,
But another challenge is, kwenye kuongea hapo Kwa wawili ndipo Huwa chanzo Cha migogoro hasa pale wanapopishana kauli, mirazamo na kutoelewana.

So nakazia ili kuweza kujenga ndoa yenye mapenzi ni muhimu kujifunza na kuzungumza Lugha ya Mapenzi ya kihisia ya mwenzi wako ili kuimarisha mahusiano wenye Uwezo WA kujadili na kutatua changamoto zinazotokea bila vikao vya nje 🙏
 
Usikae na mavitu moyoni ni heri useme usaidiwe mawazo..watu wanawasema mpk mama na watoto zao..sembuse binadamu mliyekutana ukubwan

NB:USISEME TU ZILE SIRI ZA KIBAILOJIA MFANO MAMBO YA MAPENZI AU KUNUKA UCHI ILA MENGINE MFANO KAMA ANA MATUMIZI MABAYA YA PESA AU ANAGAWA VITU OVYO UNAWEZA KUSEMA KWA MTU MZIMA AKAKUPA NJIA
Naomba jibu la Swali hili👉 (UPENDO NI NINI?)
 
Umenena vyema,
But another challenge is, kwenye kuongea hapo Kwa wawili ndipo Huwa chanzo Cha migogoro hasa pale wanapopishana kauli, mirazamo na kutoelewana.

So nakazia ili kuweza kujenga ndoa yenye mapenzi ni muhimu kujifunza na kuzungumza Lugha ya Mapenzi ya kihisia ya mwenzi wako ili kuimarisha mahusiano wenye Uwezo WA kujadili na kutatua changamoto zinazotokea bila vikao vya nje 🙏
Nakuunga mkono
 
Mambo ya ndani yanatokaje nje?
Ila kuna watu hawana vifua kabisa.
Yaani tatizo dogo anaenda kuyasema nje, kuna wengine ataanza kuguna guna mpaka umuulize kuna nini?
Ndio kama ume start engine
Atafunguka yote
Hao mimi huwa wakianza tu kufungua mdomo nawaambia, ishia hapo hapo
Kwani hukuja kuomba ushauri bali unoko tu

Hili mpaka wengine wanawasema ndugu zao wa damu kabisa kwa watu baki
Ni tabia mbaya sana hii
 
Kuna Yale ya kuongeleka mbele za watu na kuhitaj ushaur na Kuna Yale ambayo ni Siri yenu siyo ya kumueleza mtu ila ni ya kuvumilia na kupuuza
 
Nikae na mavitu moyoni sipati suluhisho mwisho nipate stress. Lazima nimuhadithie mtu kwa kweli
Usiseme siri za mume/mke, maumbile, udhaifu kitandani, uchafu nk. Kuna vitu vya kusema, lakini chagua wa kuwaambia, sio kila mtu atakupa solution kwa matatizo yako, wengi watakucheka tu.
 

Usiseme siri za mume/mke, maumbile, udhaifu kitandani, uchafu nk. Kuna vitu vya kusema, lakini chagua wa kuwaambia, sio kila mtu atakupa solution kwa matatizo yako, wengi watakucheka tu.
Siwezi kuongelea maumbile maana kama siyapendi nisingekuwa nae. Mambo ya kawaida nasema
 
Back
Top Bottom