Erick Richard R-Madrid
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 399
- 279
Narudi kwenu wana jukwaa la Biashara, jukwaa lenye watu watashi wa kibiashara.
Nategemea kupata Line zangu za uwakala wa biashara za MPESA, TIGO PESA, AIRTEL mwishoni mwa mwezi huu wa 8, nimeshapata mtu wa kumuajiri tayari kuanza kazi kwa muda huo, pia eneo la biashara nishapata tayari kujenga fremu yangu ndogo.
Naomba kufahamu wenzangu (wana jukwaa) ambao wanafanya biashara hii na wameajiri watu wengine huwa wanafanyaje kujua na kuelewa mihamala inayoingia na kutoka (kwa usahihi).
Waweza pia kunipa mbinu na changamoto mbalimbali za kufanya biashara hii ili iweze kutusaidia wote na kuweza kuielewa na kutupatia faida sote pindi tutakapoianza.
Asanteni sana.
Pia kwa aliyena uzoefu wa hii biashara ya mihamala aweze kutupa mrejesho wa namna ambavyo commission zinapatikana, na namna ambavyo mtu anaweza kujua commission (kufanya mahesabu ya commissions) yake kabla ya muda wa malipo kufika.[/B]
Nategemea kupata Line zangu za uwakala wa biashara za MPESA, TIGO PESA, AIRTEL mwishoni mwa mwezi huu wa 8, nimeshapata mtu wa kumuajiri tayari kuanza kazi kwa muda huo, pia eneo la biashara nishapata tayari kujenga fremu yangu ndogo.
Naomba kufahamu wenzangu (wana jukwaa) ambao wanafanya biashara hii na wameajiri watu wengine huwa wanafanyaje kujua na kuelewa mihamala inayoingia na kutoka (kwa usahihi).
Waweza pia kunipa mbinu na changamoto mbalimbali za kufanya biashara hii ili iweze kutusaidia wote na kuweza kuielewa na kutupatia faida sote pindi tutakapoianza.
Asanteni sana.
Pia kwa aliyena uzoefu wa hii biashara ya mihamala aweze kutupa mrejesho wa namna ambavyo commission zinapatikana, na namna ambavyo mtu anaweza kujua commission (kufanya mahesabu ya commissions) yake kabla ya muda wa malipo kufika.[/B]