Usimamizi wa biashara za kifedha

Mm pia ninahitaji sana kujua njisi ya kupata commision , kwa wenye ufahamu tupatieni elimu jamani.
Ipo hivi ,
Commision inatokana na miamala uliyoifanya kwa mwezi mzima na miamala hiyo iwe halali (miamala mingine hulipwi kwa kuwa uliweka ujanja , kwa mfano mtu mmoja atume elfu 20 kwa wewe wakala kuigawa mara nne yaani elfu 5 kwa kila muamala tena ndani ya muda huohuo kwenda kwa mtu mmoja ) hapo utalipwa muamala wa kwanza tu mingine mitatu hulipwi.
Sasa commision ipo hivi
Ukimtolea mteja 100,000 unalipwa tsh 600
1,000,000=2000 that means kwa miamala hiyo tu utalipwa tsh 2600 kwa hivyo endapo kila siku utapata wastani huo tajwa maana yake utalipwa tsh 78,000# sasa ni vema kuelewa kuwa kuna kiwango maalumu cha malipo kwa miamala kwa mfano kuanzia Tsh 1000-4999 ina malipo yake katika kutoa na kuweka ambayo ni madogo vivyo ukianzia 5000-9999 kuna kiwango chake maalumu inaendelea hivyo hivyo hadi kufika mwisho na kadri hela inavyoongezeka ndivyo malipo yake huwa makubwa , kwa hivyo endapo upo sehemu yenye mzunguko mkubwa kwa maana ya watu wengi kutoa pesa na kuweka pesa let say kwa siku una wastani wa kuhudumia watu 50 tena wa kiwango cha fedha cha wastani wa 80,000 unaweza kujikuta umelala na tsh 25,000 kwa siku au zaidi. Sasa hayo malipo ya kila siku unayopata hayaji kuwa pesa wakati huo huo hadi kampuni iyajumlishe yote kwa mwezi mzima then ikate asilimia 10 yake kinachoki ndo chako ambacho sasa inakuwa ni pesa yako kabisa.
Kumbuka watu wengi wakitoa pesa kwako na kwa mwingine wakaweka sana maana yake ni kuwa wewe utapata faida zaidi kwa kuwa miamala ya kutoa pesa ina faida zaidi kuliko ya kutuma pesa hata kama ikilingana kwa idadi.
NB: Vodacom ndiyo kampuni inayolipa kamisheni nzuri zaidi kwa mawakala wake japokuwa imepungua kiasi kutokana na sheria yao mpya ya kwamba pesa inayotumwa na wakala haipaswi kuvuka mnara ambao wakala ameutumia kutuma pesa (namaanisha , ikitokea upo Dar ila wewe wakala mnara uliokuhudumia mawasiliano ni wa Ukonga mombasa lakini pesa umeituma kwenda kwa mtu ambaye anatumia mnara wa Ukonga mazizini , faida ya muamala huo hutolipwa kabisa yaani ni sawa na umetoa sadaka tu)
Airtel ni kampuni inayofuatia kwa malipo mazuri na Halotel japo halotel haina wateja hivyo malipo yao yapo chini mno.
Kwa maeneo ya Pwani Tigo inalipa vizuri kutokana na wingi wa wateja si ubora wa malipo yao kwa mawakala.
By the way ukiwa serious na ukawa eneo lenye watu wengi biashara hii ni bora zaidi na itakuwezesha
Kwa ufafanuzi wa kina zaidi nitafute kwa namba hii 0755346718
 
Ipo hivi ,
Commision inatokana na miamala uliyoifanya kwa mwezi mzima na miamala hiyo iwe halali (miamala mingine hulipwi kwa kuwa uliweka ujanja , kwa mfano mtu mmoja atume elfu 20 kwa wewe wakala kuigawa mara nne yaani elfu 5 kwa kila muamala tena ndani ya muda huohuo kwenda kwa mtu mmoja ) hapo utalipwa muamala wa kwanza tu mingine mitatu hulipwi.
Sasa commision ipo hivi
Ukimtolea mteja 100,000 unalipwa tsh 600
1,000,000=2000 that means kwa miamala hiyo tu utalipwa tsh 2600 kwa hivyo endapo kila siku utapata wastani huo tajwa maana yake utalipwa tsh 78,000# sasa ni vema kuelewa kuwa kuna kiwango maalumu cha malipo kwa miamala kwa mfano kuanzia Tsh 1000-4999 ina malipo yake katika kutoa na kuweka ambayo ni madogo vivyo ukianzia 5000-9999 kuna kiwango chake maalumu inaendelea hivyo hivyo hadi kufika mwisho na kadri hela inavyoongezeka ndivyo malipo yake huwa makubwa , kwa hivyo endapo upo sehemu yenye mzunguko mkubwa kwa maana ya watu wengi kutoa pesa na kuweka pesa let say kwa siku una wastani wa kuhudumia watu 50 tena wa kiwango cha fedha cha wastani wa 80,000 unaweza kujikuta umelala na tsh 25,000 kwa siku au zaidi. Sasa hayo malipo ya kila siku unayopata hayaji kuwa pesa wakati huo huo hadi kampuni iyajumlishe yote kwa mwezi mzima then ikate asilimia 10 yake kinachoki ndo chako ambacho sasa inakuwa ni pesa yako kabisa.
Kumbuka watu wengi wakitoa pesa kwako na kwa mwingine wakaweka sana maana yake ni kuwa wewe utapata faida zaidi kwa kuwa miamala ya kutoa pesa ina faida zaidi kuliko ya kutuma pesa hata kama ikilingana kwa idadi.
NB: Vodacom ndiyo kampuni inayolipa kamisheni nzuri zaidi kwa mawakala wake japokuwa imepungua kiasi kutokana na sheria yao mpya ya kwamba pesa inayotumwa na wakala haipaswi kuvuka mnara ambao wakala ameutumia kutuma pesa (namaanisha , ikitokea upo Dar ila wewe wakala mnara uliokuhudumia mawasiliano ni wa Ukonga mombasa lakini pesa umeituma kwenda kwa mtu ambaye anatumia mnara wa Ukonga mazizini , faida ya muamala huo hutolipwa kabisa yaani ni sawa na umetoa sadaka tu)
Airtel ni kampuni inayofuatia kwa malipo mazuri na Halotel japo halotel haina wateja hivyo malipo yao yapo chini mno.
Kwa maeneo ya Pwani Tigo inalipa vizuri kutokana na wingi wa wateja si ubora wa malipo yao kwa mawakala.
By the way ukiwa serious na ukawa eneo lenye watu wengi biashara hii ni bora zaidi na itakuwezesha
Kwa ufafanuzi wa kina zaidi nitafute kwa namba hii 0755346718
Asante sana kaka kwa maelezo yako hakika nimepata mwanga wa kutosha.

Nitakutafuta kwa maelezo zaidi hasa nikishaanza biashara hii.


Thanks Kaka
 
kamisheni unalipwa kila mwezi kwa jumla ya idadi ya miamala yote uliyofanya kwa mwezi (kila muamala una kamisheni yake)

m pesa huwa wanatoa tarehe 31 saa sita usiku, tigopesa na airtel money tarehe 1 usiku, halopesa tarehe 2 usiku
Mwezi usio na tareh 31 je
 
Ipo hivi ,
Commision inatokana na miamala uliyoifanya kwa mwezi mzima na miamala hiyo iwe halali (miamala mingine hulipwi kwa kuwa uliweka ujanja , kwa mfano mtu mmoja atume elfu 20 kwa wewe wakala kuigawa mara nne yaani elfu 5 kwa kila muamala tena ndani ya muda huohuo kwenda kwa mtu mmoja ) hapo utalipwa muamala wa kwanza tu mingine mitatu hulipwi.
Sasa commision ipo hivi
Ukimtolea mteja 100,000 unalipwa tsh 600
1,000,000=2000 that means kwa miamala hiyo tu utalipwa tsh 2600 kwa hivyo endapo kila siku utapata wastani huo tajwa maana yake utalipwa tsh 78,000# sasa ni vema kuelewa kuwa kuna kiwango maalumu cha malipo kwa miamala kwa mfano kuanzia Tsh 1000-4999 ina malipo yake katika kutoa na kuweka ambayo ni madogo vivyo ukianzia 5000-9999 kuna kiwango chake maalumu inaendelea hivyo hivyo hadi kufika mwisho na kadri hela inavyoongezeka ndivyo malipo yake huwa makubwa , kwa hivyo endapo upo sehemu yenye mzunguko mkubwa kwa maana ya watu wengi kutoa pesa na kuweka pesa let say kwa siku una wastani wa kuhudumia watu 50 tena wa kiwango cha fedha cha wastani wa 80,000 unaweza kujikuta umelala na tsh 25,000 kwa siku au zaidi. Sasa hayo malipo ya kila siku unayopata hayaji kuwa pesa wakati huo huo hadi kampuni iyajumlishe yote kwa mwezi mzima then ikate asilimia 10 yake kinachoki ndo chako ambacho sasa inakuwa ni pesa yako kabisa.
Kumbuka watu wengi wakitoa pesa kwako na kwa mwingine wakaweka sana maana yake ni kuwa wewe utapata faida zaidi kwa kuwa miamala ya kutoa pesa ina faida zaidi kuliko ya kutuma pesa hata kama ikilingana kwa idadi.
NB: Vodacom ndiyo kampuni inayolipa kamisheni nzuri zaidi kwa mawakala wake japokuwa imepungua kiasi kutokana na sheria yao mpya ya kwamba pesa inayotumwa na wakala haipaswi kuvuka mnara ambao wakala ameutumia kutuma pesa (namaanisha , ikitokea upo Dar ila wewe wakala mnara uliokuhudumia mawasiliano ni wa Ukonga mombasa lakini pesa umeituma kwenda kwa mtu ambaye anatumia mnara wa Ukonga mazizini , faida ya muamala huo hutolipwa kabisa yaani ni sawa na umetoa sadaka tu)
Airtel ni kampuni inayofuatia kwa malipo mazuri na Halotel japo halotel haina wateja hivyo malipo yao yapo chini mno.
Kwa maeneo ya Pwani Tigo inalipa vizuri kutokana na wingi wa wateja si ubora wa malipo yao kwa mawakala.
By the way ukiwa serious na ukawa eneo lenye watu wengi biashara hii ni bora zaidi na itakuwezesha
Kwa ufafanuzi wa kina zaidi nitafute kwa namba hii 0755346718
Vzr mkuu
 
Mengi yameshaelezwa na wajumbe wa mkutano, ila cha msingi kingine ni kumpata tu mfanyakazi mwenye yule yuko MAKINI SANA, hii biashara ukifanya uzembe sekunde moja tu hasara yake unarudi kwenye 0

1. Kuna miamala inaingia kwenywe laini ya wakala kimakosa, hii kwa mfano mteja yupo sehem nyingine anatoa hela akakosea namba utashangaa tu muamala umeingia kwenye simu yako na mteja humuoni, na maranyungine kutokana na changamoto ya kimitandao utashangaa ule muamala haujarudishwa kwa siku kadhaa, sasa hapo ukipata mfanyakazi mwenye tamaa ile hela anaitia mfukoni, mwisho wa siku mteja anafuatilia hela yake wakala anaanza kukatalia hela ya mteja, mtandao wa tigo wanaifunga lain ya mteja na mnaingia kwenye kesi

2. Mfanyakazi ahakikishe anamhudumia mteja aliye mbele yake, asihudumie mteja kupitia maekekezo ya simu. Asuruhusu mteja atoe hela kutoka mbali

3. Usiruhusu /usijenge mazoea na mfanyakazi kutumiana hela, kuna ile tabia za mabosi wa tigopesa au hata familia zao au hata marafiki zao wanawapigia simu wafanyakazi wao na kuwaambia weka hela humu au mwekee fulani ntakuletea hela badae, matapeli wanaingiliaga hapo kati na kuwaliza watu. Kama una shida nenda mwenyewe ukahudimiwe au uko mbali hudumiwa tu hukohuko.wengi wamelizwa na mazoea hata mabaya

4.mfanyakazi acheke na wateja, ila asicheke na miamala, ikifika kwenye suala la miamala asimwamini mtu YEYOTE, hata wewe bosi wake hatakiwi kukuamini

5. Malipo yake ni commission wise, na kama mnavojua kazi za commission, jinsi unavopiga Kazi ndivyo mzigo unaingia, ukilala utarudi nyumbani na buku kama wale watakaoenda kudai mirathi ya baba yao

5. Siku nyungine unapotataka kuanza kufanya kitu usiuliziea sana inalipaje, ulizia jinsi ya kufanya hicho kitu kwa mafanikio, kwani sio kila biashara INA mlipa kila mtu, utakuta biashara hiyohoyo huyu anaaita mbaya na mwingine anaaita nzuri, na unaweza kupata majority ya koments kotoka kwa walioshindwa ukavunjika moyo

6. Mwisho naikutakie tu MIAMALA MYEMA!
 
Mengi yameshaelezwa na wajumbe wa mkutano, ila cha msingi kingine ni kumpata tu mfanyakazi mwenye yule yuko MAKINI SANA, hii biashara ukifanya uzembe sekunde moja tu hasara yake unarudi kwenye 0

1. Kuna miamala inaingia kwenywe laini ya wakala kimakosa, hii kwa mfano mteja yupo sehem nyingine anatoa hela akakosea namba utashangaa tu muamala umeingia kwenye simu yako na mteja humuoni, na maranyungine kutokana na changamoto ya kimitandao utashangaa ule muamala haujarudishwa kwa siku kadhaa, sasa hapo ukipata mfanyakazi mwenye tamaa ile hela anaitia mfukoni, mwisho wa siku mteja anafuatilia hela yake wakala anaanza kukatalia hela ya mteja, mtandao wa tigo wanaifunga lain ya mteja na mnaingia kwenye kesi

2. Mfanyakazi ahakikishe anamhudumia mteja aliye mbele yake, asihudumie mteja kupitia maekekezo ya simu. Asuruhusu mteja atoe hela kutoka mbali

3. Usiruhusu /usijenge mazoea na mfanyakazi kutumiana hela, kuna ile tabia za mabosi wa tigopesa au hata familia zao au hata marafiki zao wanawapigia simu wafanyakazi wao na kuwaambia weka hela humu au mwekee fulani ntakuletea hela badae, matapeli wanaingiliaga hapo kati na kuwaliza watu. Kama una shida nenda mwenyewe ukahudimiwe au uko mbali hudumiwa tu hukohuko.wengi wamelizwa na mazoea hata mabaya

4.mfanyakazi acheke na wateja, ila asicheke na miamala, ikifika kwenye suala la miamala asimwamini mtu YEYOTE, hata wewe bosi wake hatakiwi kukuamini

5. Malipo yake ni commission wise, na kama mnavojua kazi za commission, jinsi unavopiga Kazi ndivyo mzigo unaingia, ukilala utarudi nyumbani na buku kama wale watakaoenda kudai mirathi ya baba yao

5. Siku nyungine unapotataka kuanza kufanya kitu usiuliziea sana inalipaje, ulizia jinsi ya kufanya hicho kitu kwa mafanikio, kwani sio kila biashara INA mlipa kila mtu, utakuta biashara hiyohoyo huyu anaaita mbaya na mwingine anaaita nzuri, na unaweza kupata majority ya koments kotoka kwa walioshindwa ukavunjika moyo

6. Mwisho naikutakie tu MIAMALA MYEMA!
Big up sana mkuu nimekuelewa vizuri sana, hakuna kucheka cheka sana na mfanyakazi wako naahidi nitasimamia hilo.

Kweli utapeli ni mwingi na uaminifu wa mfanyakazi una hitajika sana, Asante sana mkuu kwa kutupa elimu hapa.


Ubarikiwe sana.
 
Mkuu hyo biashara changamoto kwa sasa ni utapeli.
Ili kuzuia utapeli basi hakikisha simu ya wakala haishikwi na mtu yoyote zaidi ya wakala.epuka zile unampa mteja weka namba,hapo ndio matapeli wanawapiga sana.
Kata karatasi ndogo mteja akitaka weka pesa anaandika namba na jina kwenye karatasi then wakala ndio unatumia hiyo kumtumia pesa.hutapigwa kamwe.
Narudia tena simu ya wakala isishikwe na mteja hata siku moja
 
Mkuu hyo biashara changamoto kwa sasa ni utapeli.
Ili kuzuia utapeli basi hakikisha simu ya wakala haishikwi na mtu yoyote zaidi ya wakala.epuka zile unampa mteja weka namba,hapo ndio matapeli wanawapiga sana.
Kata karatasi ndogo mteja akitaka weka pesa anaandika namba na jina kwenye karatasi then wakala ndio unatumia hiyo kumtumia pesa.hutapigwa kamwe.
Narudia tena simu ya wakala isishikwe na mteja hata siku moja
Pamoja sana kiongozi kwa ushauri wako.
 
Mengi yameshaelezwa na wajumbe wa mkutano, ila cha msingi kingine ni kumpata tu mfanyakazi mwenye yule yuko MAKINI SANA, hii biashara ukifanya uzembe sekunde moja tu hasara yake unarudi kwenye 0

1. Kuna miamala inaingia kwenywe laini ya wakala kimakosa, hii kwa mfano mteja yupo sehem nyingine anatoa hela akakosea namba utashangaa tu muamala umeingia kwenye simu yako na mteja humuoni, na maranyungine kutokana na changamoto ya kimitandao utashangaa ule muamala haujarudishwa kwa siku kadhaa, sasa hapo ukipata mfanyakazi mwenye tamaa ile hela anaitia mfukoni, mwisho wa siku mteja anafuatilia hela yake wakala anaanza kukatalia hela ya mteja, mtandao wa tigo wanaifunga lain ya mteja na mnaingia kwenye kesi

2. Mfanyakazi ahakikishe anamhudumia mteja aliye mbele yake, asihudumie mteja kupitia maekekezo ya simu. Asuruhusu mteja atoe hela kutoka mbali

3. Usiruhusu /usijenge mazoea na mfanyakazi kutumiana hela, kuna ile tabia za mabosi wa tigopesa au hata familia zao au hata marafiki zao wanawapigia simu wafanyakazi wao na kuwaambia weka hela humu au mwekee fulani ntakuletea hela badae, matapeli wanaingiliaga hapo kati na kuwaliza watu. Kama una shida nenda mwenyewe ukahudimiwe au uko mbali hudumiwa tu hukohuko.wengi wamelizwa na mazoea hata mabaya

4.mfanyakazi acheke na wateja, ila asicheke na miamala, ikifika kwenye suala la miamala asimwamini mtu YEYOTE, hata wewe bosi wake hatakiwi kukuamini

5. Malipo yake ni commission wise, na kama mnavojua kazi za commission, jinsi unavopiga Kazi ndivyo mzigo unaingia, ukilala utarudi nyumbani na buku kama wale watakaoenda kudai mirathi ya baba yao

5. Siku nyungine unapotataka kuanza kufanya kitu usiuliziea sana inalipaje, ulizia jinsi ya kufanya hicho kitu kwa mafanikio, kwani sio kila biashara INA mlipa kila mtu, utakuta biashara hiyohoyo huyu anaaita mbaya na mwingine anaaita nzuri, na unaweza kupata majority ya koments kotoka kwa walioshindwa ukavunjika moyo

6. Mwisho naikutakie tu MIAMALA MYEMA!
Mkuu nahc nimekupata zaidi hasa hiyo point ya mwisho ....

One love
 
Good points asante sana
1 Kwanza mwombe Mungu maana biashara ya fedha ndiyo biashara ambayo kama huisimamii wewe mwenyewe au kuwa makini sana kwa msaada wa Mungu unaweza kulala tajiri ukaamka maskini kabisa.

2 Nakushauri umpe mkataba kabisa wala usimtazame usoni na hakikisha ana wadhamini ambao ni vema wawe ndugu zake wa damu hasa mama au baba maana pesa ina vituko sana hasa unapomwajiri mtu kwa kuchekacheka ati nimwaminifu.Imewahi kunitokea , mtu nimepigania katoka jela nikaamua kumpa kazi ili aweze kuendesha familia akaishia kubeti na kusepa na pesa zangu na sikuwa na namna ya kumdai kabisa.

3 Mfanyakazi akipoteza pesa mwambie azilipe papo hapo na kama unaweza hilo liwe ndani ya mkataba kabisa.Biashara hii ukichekacheka unapoteza pesa , mtu atakwambia hesabu haipo sawa kumbe katia mfukoni na tabia ikizidi anatoroka na milions of money au anakwambia kapata loss hata ya milion 4

4 Hakikisha una mtaji wa ziada wa kuweka katika biashara yako ili ikitokea umetapeliwa au imepotea kuasi unacover kusudi wateja wasikukimbie maana wanapenda uhakika wa pesa

5.Commission usipende kuiingiza kwenye mtaji .Watu wengi wanaanza na sh 1000000 , akiona anapata laki 4 kwa mwezi anaona heri awe anaiweka commision ndani ya mtaji ili iwe kubwa zaidi apate kamusheni bomba zaidi sasa ikitokea dharula unajikuta ushakuwa maskini na kijiwe kinakufa rasmi.

6 Mshahara anza na wa kawaida ila mfanyakazi akikuingizia pesa nzuri ya kupanda kila mwezi mwongeze bonus azidi kupiga kazi zaidi.Wengine wanasikia fulani anamlipa mfanyakazi wake Laki moja na wao wanawatamkia wa kwao kuwa ni laki moja kumbe mwenzako alishajua faida ya eneo lake labda ni laki 5 kupanda juu sasa wewe unamlipa laki moja na commission imeingia laki na nusu hapo ni taabu tu .



Ni hayo tu
 
Back
Top Bottom