mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,571
- 23,670
- Thread starter
- #21
ya ni kweli mkuuUmesahau ni Nchi ya kwanza Kuwa na mademu wakali dunia kuanzia blond na blunete meeen Nmemc pussy za Eastern Europe
ya ni kweli mkuuUmesahau ni Nchi ya kwanza Kuwa na mademu wakali dunia kuanzia blond na blunete meeen Nmemc pussy za Eastern Europe
Aaah!! Ndiyo maana na cc tunaanz kujtgmea!nimeleta hii mada maalum kw watu wasiokuw na uwelew wa nchi ya urusi,wengi wanajua kuw urusi anategemea gesi na mafuta tu wakati sio kweli.vipo vingi tu vya kufany uchumi wa urusi uendele kuwepo
Hujasoma vizuri wewe mkuu. 17.000.O00 sq km. Hii ndio namba aliyoiandika mleta uzi.Namba 8 sio kweli, pia namba moja sio kweli (at least the mentioned size)..., hiyo size uliyotaja ni ndogo kuliko hata Rwanda. Tanzania ina 947,303 sq km, iweje Urusi iwe na 17,000 sq km tu?
Mamba 8 nenda kagoogle tena, maana sio kweli.
Mamba=Namba, waliolewa wameelewa. Watanzania ni watu wa ajabu sana akili yenu ipo kwenye kukosoa tu.Hapo sijaona Mamba 8 mkuu..
Kwa kuwa wewe ni Mgiriki tutakukosoa tu.Mamba=Namba, waliolewa wameelewa. Watanzania ni watu wa ajabu sana akili yenu ipo kwenye kukosoa tu.
We nawe umechengwa kidogo ukaamini sasa rudia ulichokiandika wapi umekosea sasanilikosea mkuu,iyo ni 17 milioni
Mkuu lazima nioe hukhuku kwa putin, pussy tamu baraaUmesahau ni Nchi ya kwanza Kuwa na mademu wakali dunia kuanzia blond na blunete meeen Nmemc pussy za Eastern Europe
17,125,200We nawe umechengwa kidogo ukaamini sasa rudia ulichokiandika wapi umekosea sasa
Kumbe huwa tunadanganyana tu kwamba Tanzania tuna kila kituHaya ni mambo ambayo wengi tumekuwa hatuyajui kuhusu nchi ya Urusi.
1.ni nchi kubwa kuliko zote duniani,ina 17,000,000 squal km yani imezidiw kidog tuna bara la africa
2.ni nchi ya 2 kwa kuw na mzunguko mkubw wa reli,ina km
87,000 za njia ya reli
3.ni nchi ya kwanz kuw na wasomi wengi,53% ya warusi wana degree kw iyo usishangae kumkuta kinyozi wa urusi ana degree
4.ni nchi ya 4 kuw na airport nying,kuna jumla ya airport 1,218
5. ni nchi ya 4 kw kuzalish umeme mwingi,wanazalisha 1,064,100(Gwt)
6.ni nchi ya 3 kw uzalishaji wa madini aina ya gold,inazalisha tani 247 kw mwaka
7.ni nchi ya 4, kw kuzalisha madini aina ya silver,inazalisha tani 1,700 kw mwaka
8.ni nchi ya 1 kw uzalishaji wa mafuta.ina zalisha 10,590,000
barrels kw siku
9.ni nchi ya 2 kw uzalishaji madini aina ya aluminium
10.ni nchi ya 1 kw kuzalisha madini aina ya diamond,inazalisha tani 8 kw mwaka
11.ni nchi ya 5 kw kuzalisha madini ya aina ya chuma(Iron)
12.ni nchi ya 4 kw kuzalish madini ya aina ya chuma(steel)
13.ni nchi ya 6 kw kuzalisha madini aina ya uranium
14.ni nchi ya 2 kw uzalishaji wa gesi
15.ni nchi ya 7 kw uzalishaji wa madini aina ya copper
16.ni nchi za 3 kw uzalishaji wa ngano
17.ni nchi ya 3 kw uzalishaji mbao
18.ni nchi ya 5 kw uvuvi
19.ni nchi ya 2 kw kuuza siraha.
haya ni maadhi ya mambo usiyoyajua kuhusu nchi ya urusi,ila yapo mengine meng tu
ni kweli mkuu uwa tunaongopean san,tena wengine utasikia wanasem kuw ulaya bila africa isingekuw vile eti mali walizotuibia ndo zimefany ulaya kuw vileKumbe huwa tunadanganyana tu kwamba Tanzania tuna kila kitu
cha ajabu uchumi wake haufiki hata nusu ya japan
Tuambie basi ukweliMamba 8 nenda kagoogle tena, maana sio kweli.
Kama hujaona uniqueness hapo basi una lako wewe si bureMleta mada jaribu kuwa serious kidogo,how come una draw attention za wasomaji kwa mada ya kitu kisicho na uniqueness,sasa nchi kuwa ya 4 au ya 5,kuna kitu gani kipya hapo,kuna mambo yakusumbua watu hapa jukwaani kama matukio yaliyovunja rekodi au kitu kuwa cha kwanza au cha mwisho katika tukio au jambo flani
amna mkuu,hapa tunachangia vyote -ve na +ve mkuuTayari umeanza,mda si mrefu mambo ya kulinganusha na USA yanaingia...lete tu tunogeshe jamvi
kama uchumi tu nigeria ndo inaongoz kuw na uchumi mkubw africa ila maish ya nigeria bora ya somaliacha ajabu uchumi wake haufiki hata nusu ya japan