Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
Wanawake wana silaha moja kubwa sana 'meno' na wanajua kuitumia vilivyo, meno yana sumu mbaya na jeraha la meno huacha alama au kovu la kudumu kwenye mahusiano daima kutoelewana hakukosekani na wanaume walio wengi huwapiga wanawake, kwa kukosa nguvu za kupambana mwanamke hukubali kipigo lakini akibaki na kisasi rohoni siku usiyotaraji kunako malavidavi atataka tongue kiss au alambe koni, ole wako ukubali, asipoondoka na kipande cha ulimi ataondoka na kichwa cha koni wengi wamejeruhiwa na kupata ulemavu wa maisha kwa njia hiyo