Usikubali akunyonye

Usikubali akunyonye

asante kwa kuandika kitu cha upuuz na kuonyesha kazi kubwa ya mulugo kuwa ni ya kukumbukwa kuliko miaka 50 ya muungano
 
Aiseee kumbe tukikosana me nkajua hata kama hakuna ugomvi mmh nilitaka kushangaaa
 
aha mi sijali demu wangu kibogoyo
 
Ndo mtuheshimu sema tunakahuruma kidogo mke wako anaweza kukuua ujue na hata isijulikane

Inajulikana ila ushahidi ndiyo unakosekana.
Jiulize ni wanawake wangapi wanamiliki majumba mazuri Tz then uliza habari za waume zao, utaambiwa tu alifariki dunia.
 
sio kwenye meno tu visasi vipo vya aina nyingi kwa mwanamke akiamua kufanya jambo kwa mwanaume.
 
Mkuu unajua kun'gata koni kunataka timing kubwa sana? Mana ikiingia tu mdomoni hua inateleza kama kambale.
 
Back
Top Bottom