usiku wa leo utaamua Tanzania inakwenda wapi..

Kuongoza nchi sio mchezo wa mdundiko, viongozi wa sasa wamekuta vinaelea wakadhani ni rahisi. Mtoto akililia wembe mpe si mnaona wengine walianza kampeni tangu zamani. JK anavuna alichopanda.
 
Jua litakapotua na
Giza litakapoingia...mwelekeo wa Tanzania utaamuliwa leo. Natumaini
wapo watu ambao watasimama pamoja kupinga. Watu wema wa tanzania wapo
wapi? Utafika wakati wale wenye kuamin katika udugu na umoja watoke na
kusimama pamoja. Wasikubali kuiachia nchi ivurugwe hivi kwa uzembe wa
wawatawala. Sijui usiku hu utapitaje..I dread the thought

Mie nafikiri waislamu wenye majina makubwa ktk nchi hii wanatakiwa waseme kitu, hii kukaa kimya inamaani sha wanaukubali ujinga huu! Dr salim umesuluhisha sana migogoro wa ndani kwako hata kutolea kauli tu umeshindwa.
 
Katika mazingira haya tuliyofikia, ambapo serikali imedhihirisha kwa wazi kuwa imekuwa legelege isiyo na meno, inayoshindwa kukataa kwa sauti kubwa kuwa haikuhusika na utekaji wa Ulimboka, inayoshindwa kuonesha kwa dhati kabisa kuwa inakerwa na vitendo vya kihuni kwa mwamvuli wa dini, inapopuuzia hali tete iliyopo nchini inayohitaji kulitangazia taifa nini kinaendelea na badala yake kuendelea na ziara za kwenda kutembezwa kwenye vibelenge huko nje, Jeshi lililo makini huliepusha taifa kutumbukia kwenye machafuko zaidi kwa kuonyesha kuwa lipo imara si kulinda mipaka ya nchi tu bali hata kuisaidia serikali kuwatumikia wananchi. Kwa sababu haya matumizi ya nguvu yanapofanywa mara nyingi yana hatari ya kuzoeleka, na kuwafanya wale waliokuwa wakiyaogopa wasiyaogope tena. Serikali makini inayojijua kuwa haina ushiriki wowote katika yanayolalamikiwa haiwezi kukaa kimya namna hii au kutoa kauli nyepesi nyepesi namna hii. Wanajeshi hawawezi kuendelea kuona wenzao wakiuliwa katika kujaribu kutii maagizo ya wakubwa wao, ambapo wao wakiua hufunguliwa mashtaka bila wale waliowatuma kuunganishwa. Namuomba Raisi wangu angeuona huu kuwa wakati ambao kwa mara ya kwanza angepaswa kutoa hotuba bila vile vicheko vyake ili wanaodhani kuwa Uraisi unampyaya wajue kuwa anaumudu.
 
mkuu mbona Tanzania hali shwar tu,ila hawa jamaa muslimu wana matatizo sana hawa jamaa,weng wao shule hamna ndo mana wanakosa vitu vya kufikiria.
 
Kuongoza nchi sio mchezo wa
mdundiko, viongozi wa sasa wamekuta vinaelea wakadhani ni rahisi. Mtoto
akililia wembe mpe si mnaona wengine walianza kampeni tangu zamani. JK
anavuna alichopanda.

Umenena mkuu! Jk alikuwa anaona uraisi anaweza kila mtu tu!
 
Mtalii wetu haoni haya? Kweli tunahitaji mapinduz lakin mpaka wazee wote wafe maana wao na ccm mpaka kufa! duuh,inauma
 
nakusikia sana mkuu wangu na hakika ndilo waislaam wamekuwa wakipigania kwa miaka mingi.... Kuunda JUMUIYA YAO wenyewe na isimamiwe na viongozi wao wenyewe. Pengine naweza kusema tatizo ni Uislaam wenyewe maana Uislaam sio Society ya watu sio Jumuiya isipokuwa wale wanaoamini Mungu mmoja. Uislaam ni dii isiyokuwa na watu inaweza kusimama yenyewe, Ni dini ya Mwenyezi Mungu sisi tunaingia na kufuata tuloagizwa ili tuitwe waislaam. Hivyo ni swala la kiimani zaidi kiasi kwamba hata Sheikh Simba sii mkubwa wala hana Ukubwa mbele ya Mwenyezi Mungu, yeye na mimi tunasimama sawa isipokuwa yeye kaelemika zaidi yangu. Miye Na hiyo Elimu yake sio itakayo muokoa isipokuwa vitendo vyake..

Ukija katika dini nyingine unakuta kuna Uongozi wake na labdaktk Uislaam ni Shia na Ismailia hawa wana viongozi wao wa kidini na Kiutawala pia. Thanks God hatuna Mashia wengi Tanzania kwa sababu hawa sii tu kwamba wako Oragernised lakini pia wanafuata sheria za kitabu (Sharia law) ingekuwa kazi mpya kwetu.

Nyerere aliunda Bakwata kwa misingi ya kujaribu kuweka chombo cha Waislam (weusi) hasa baada ya kuvunja kile cha kina AghaKhan maana hatukuwa na mfumo wa Jumuiya isipokuwa madhehebu ili tupate kusaidiwa na serikali pale inapohitajika.. Waswahili wakaufanya Mtaji, ikawa hata viongozi wanachaguliwa kupitia CCM na siasa za chama na hata ilipofikia wakati wa Mwinyi na mabadiliko ya Kiuchumi, Bakwata ikawa chombo cha serikali kibiashara maana elewa hawa ni binadamu wenye tamaa kama mimi tofauti na wenzetu nyie mnawaamini viongozi wenu hata wakifanya baya mtakuwa nyuma yao.. Leo hii ukinambia Sheikh mkuu Simba anahusika na Mbagala nitakwambia tia ndani maisha lakini kwa Askofu itakuwa swala jingine kabisa maana mnaamini viongozi wenu ni walokole hawana tamaa za kibinadamu..

Nirudi kwenye mada hii nawaomba wanabodi wenzangu msidanganyike na mkenge mnaotaka kufungwa. Waislaam hawana uwezo wa kuwaondoa viongozi hawa madarakani maana hiki chombo hakipo ktk utaratibu wa dini ni muundo wa serikali ambayo imekitumia kwa miaka yote ktk siasa zake. Hili ni changa la macho mnapigwa. walofanya machafuko ya Mbagala hawajafikishwa mahakamani na ujio wa hili swala la Ponda ni kuzima fikra zenu maana yawezekana kabisa ile kesi ikapotea na msijue hatma yake. Ya Ponda yasitumike kisiasa wala kutugawa tunataka kujua ya Mbagala..

Mkuu, nakusoma vizuri tu. Mimi sitaki kuingia kwenye swala la imani na nani anaamini nini kwa kiasi gani. Hayo ni magumu sana, kwenye ukatoliki kila mtu anaamini mpaka anapotaka au anapoona yeye kwembe panatosha, same na islam, ni ngumu kujua watu wanaamini mpaka wapi...you can not tell, kwa sababu ni mambo ya rohoni sana.

Lakini kinachowakutanisha waumini wa kiislam (hata wa madhehebu au dini nyingine) ni kwamba wanaamini katika Mungu mmoja katika utaratibu walioukubali either kwa mapokeo au kwa maandiko ya kitabu kitukufu. Sasa hawa wana kitu kinachowaweka pamoja. Tayari ni jumuia ambayo inaweza kujisimamia katika mambo ya kiroho ... Kwa kuwatumia viongozi wa dini, na katika mambo ya kidunia, kwa maana ya mfumo wa uongozi ambao unaenda zaidi ya mambo ya roho.....vitu kama umiliki na usimamizi wa rasilimali kama viwanja, au mashamba n.k.

Ninachojaribu kusema ni kwamba, haiwezekani kufanya M4C within waumini wa kiislam, ili kufanyike labda referendum au ufikapo wakati wa uteuzi wa viongozi wapya wa BAKWATA, waumini waseme now, we want big changes....tunataka uongozi wa dini ya kiislam uwe hivi na hivi, we want structures ziwe hivi na hivi. I mean, wanazioni wa ndani wakakaa na kuweka mezani rasimu ya katiba yenye kuondoa kabisa kabisa link ya uongozi wa waislam na CCM na serikali yake.

Labda swali ni je, CCM ipo tayari kuona moja ya kumuia zake -BAKWATA, ikiondoka na kuvunjika, na waislam kupata haki yao ya msingi ya kuwa na uhuru wa kuchagua uongozi wautakao? Kwa taratibu watakazojiwekea wao na sio CCM?
 
dhaifu is inversely proportion to peace while police remain constant


let dhaifu = d , police =p and peace = pe then si unit of police is ccmgovernmentjustice si unit of peace is justice


d=k/pe
d = p/pe


hili lihesabu mbona linakuwa gumu kukokotoa hebu nisaidien kupat dhaifu itakuwa na unit ip kwani nimesoma shule ya kata
 
Jua litakapotua na Giza litakapoingia...mwelekeo wa Tanzania utaamuliwa leo. Natumaini wapo watu ambao watasimama pamoja kupinga. Watu wema wa tanzania wapo wapi? Utafika wakati wale wenye kuamin katika udugu na umoja watoke na kusimama pamoja. Wasikubali kuiachia nchi ivurugwe hivi kwa uzembe wa wawatawala. Sijui usiku hu utapitaje..I dread the thought

MMK. Nimerudi tena bila majibu inabidi nisubirie mpaka hii Siku ipite I mean kesho ndio nichangie hii thread yako maana bado nikipiga mahesabu haya balance ksbisa 7+1 napata =71 na wewe unasema 8 ntapita tena kesho kuchangia Mkuu ulale unono Mkuu.
 
dhaifu is inversely proportion to peace while police remain constant


let dhaifu = d , police =p and peace = pe then si unit of police is ccmgovernmentjustice si unit of peace is justice


d=k/pe
d = p/pe


hili lihesabu mbona linakuwa gumu kukokotoa hebu nisaidien kupat dhaifu itakuwa na unit ip kwani nimesoma shule ya kata

arbitrary unit (kwa sababu hiyo ratio unapata dimensionless quantity)
 
Mkapa alidhani anawapendeza waislamu na hivyo angeweza kuwafutia hisia walizokuwa nazo kinyume naye. Alisahau kuwa kujaribu kumpendeza mtu kwa kumnyang'anya mwingine haki yake hakuongezi kitu zaidi ya kudharauliwa na wenye akili na kuwathibitishia unaojipendekeza kwao kuwa upumbavu wao ulikuwa hekima, na kwamba wameshinda. Ni kama serikali ilivyokubali kuamrishwa kuwaachia wahalifu wa sensa kwa shinikizo la kidini, kumewapa kichwa sasa wanadhani wanaweza pia kuipa serikali siku saba eti imwachie Ponda, na kwenda hata ikulu kumwamuru raisi, ridiculous!
Nchi ipo katika ombwe la uongozi,.. kiongozi mkuu bado ni kijana mtalii,mwenye kuhusudu starehe na anasa za kidunia.
Paka aliefungwa kengele sasa ataamsha na kuwakumbusha watanganyika nini walichonyimwa chini ya kivuli fake hichi cha amani, huku jamii flani ikionewa,.. kama mkristo nakiri tumevumilia mengi, tumeonewa vya kutosha,tumelazimishwa wakati mwingine kukubali hata yale yanayoonekana si haki
Ikumbukwe Raisi Mkapa alipowaruhusu waislamu watumie majengo ya Umma pale morogoro kufanya chuo chao, haikumaanisha mkristo asiruhusiwe ama akiruhusiwa pale atendewe kama mkimbizi
 
Jua litakapotua na Giza litakapoingia...mwelekeo wa Tanzania utaamuliwa leo. Natumaini wapo watu ambao watasimama pamoja kupinga. Watu wema wa tanzania wapo wapi? Utafika wakati wale wenye kuamin katika udugu na umoja watoke na kusimama pamoja. Wasikubali kuiachia nchi ivurugwe hivi kwa uzembe wa wawatawala. Sijui usiku hu utapitaje..I dread the thought

Haya Mzee Mwanakijiji kumekucha hebu tueleze hatima ya TZ Kama ulivyosema usiku Utaamua?
 
Watanzania tunaona JUA linatoka na KUZAMA, Tunafurahi na kupongezana, SERIKALI HII,Itaamua ikiwa GIZA NDIO BORA AMA VIPI
 
Kuna mdau ameweka link ya mahojiano ya kiongozi wa UAMSHO "aliyetekwa"

Sina muda mchafu wa kusikiliza Sauti ya Israel anayependa kuwanyima Watz Amani na Raha Katika Taifa Lao kwa masilahi Yake. Bora nisikilize hata Sauti ya Chura anayekoroma kuliko hiyo ya huyo ibilisi
 
Kama sikosei serikali ndo ilianzisha vurugu zisizokuwa za msingi kuwalenga chadema. Wananchi ambao ni maskini wa fikra wamecopy na kupaste so serikali ya Jakaya andaeni pilao wekeni kisamvu na maharage ya kutosha waalikeni hawa watu waje wale ubwabwa na vurugu zao zitaisha msisahau kuweka ndizi mbivu za kutosha kushushia ubwabwa.

Nimeona Mikataba inasainiwa uarabuni wakuu. Hivi ni mauziano ya nini yale????????????????

Maskini Nchi Yangu
 
Sina muda mchafu wa kusikiliza Sauti ya Israel anayependa kuwanyima Watz Amani na Raha Katika Taifa Lao kwa masilahi Yake. Bora nisikilize hata Sauti ya Chura anayekoroma kuliko hiyo ya huyo ibilisi

Amani ya Tanzania inachezewa na nani?

Usijifanye kama mbuni kuzika kichwa mchangani. Hujui nani katika Tz anayechezea amani na uhai wa wadanganyika?

Bora ,endelea tu kusikiliza sauti ya chura, mkuu.

Ulimboka alitekwa na nani? Na sauti ya Israel au Ibilisi ?
 
Back
Top Bottom