Super mega
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 1,177
- 2,361
- Thread starter
- #41
Hakika vita vya kiroho vinahitaji kumuomba sana Mungu asanteVita vya kiroho vinapiganwa kiroho, endelea kusimama na Mungu, omba sana.
Hakika vita vya kiroho vinahitaji kumuomba sana Mungu asanteVita vya kiroho vinapiganwa kiroho, endelea kusimama na Mungu, omba sana.
Mkuu sio story.Muda unazidi kwenda hizi nazidi kuziona ni kama story za mwanamalundi
Anasema,...."nikisema uwazi namaanisha matukio yaliyo kuwa yanatokea nayaona kwa uhalisia huko huko usingizini na ndotoni"Ameota, ila katika kuota alikua anapata feelings ya kwamba ni kitu kinatokea kweli na sio ndoto
Ulishawahi kuota ndoto yenye ujumbe bila shaka, hiyo ndoto ukiamka huwa ina feeling kama ulikua unaona live na sio ndoto, tofauti na ndoto tu za kawaida.....Anasema,...."nikisema uwazi namaanisha matukio yaliyo kuwa yanatokea nayaona kwa uhalisia huko huko usingizini na ndotoni"
Sasa hapo utaelewa Nini ndg msomaji?
Yaani uhalisia halafu muda huo unayaona ndotoni. Au ndo Mixxx By Yas?
Ngoja ulale ukufe afu sisi tuoe mke wako endelea na ubishi wako.Anasema,...."nikisema uwazi namaanisha matukio yaliyo kuwa yanatokea nayaona kwa uhalisia huko huko usingizini na ndotoni"
Sasa hapo utaelewa Nini ndg msomaji?
Yaani uhalisia halafu muda huo unayaona ndotoni. Au ndo Mixxx By Yas?