Super mega
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 1,177
- 2,361
- Thread starter
- #21
Hapanaumewahi kutolewa roho?
Hapanaumewahi kutolewa roho?
😂 wewe mwachiluwi siwezi kuwa na msongo wa mawazo kiasi hicho yani kwamba nimekosa amani kabisa basi bora nijifurahishe kwa kupika nyama ya foil kwa jiko la mkaaUna msongo wa mawazo tafuta demu upigee sawa toto abujujuu abujujuuu 😂
Kwelii bas vizuri abujubujuu abujubujuuu uwai kazin😂 wewe mwachiluwi siwezi kuwa na msongo wa mawazo kiasi hicho yani kwamba nimekosa amani kabisa basi bora nijifurahishe kwa kupika nyama ya foil kwa jiko la mkaa
Yaah man ni kutoka tu kwenda kupambaniaKwelii bas vizuri abujubujuu abujubujuuu uwai kazin
We ulitusimulia karama yako ya ndoto waotaji tulielewa, mbona umeamua kumdhihaki? Au unadhani umejaaliwa peke yako??Kwamba ilikuwa ndoto halafu ukamuona kwenye macho ya uhalisia halafu ukanzaa kuomba mungu kwa imani yako
halufu ukamshinda HALAFU UKAPATA NGUVU ZA KUANDIKA UZI halafu umekula maknde ya degu ukavimbewa halafu tumia rungu kuangamiza hao kunguni maana nawaona hadi kwnye uzi wako
Kweli kabisa mkuu.Maombi ni muhimu kuzipiga nguvu za giza
Kila kheriYaah man ni kutoka tu kwenda kupambania
Chumba kina hewa mkuu? 😂😂Mkuu kwa kusema mashuka ni machafu sio kweli kabisa sipo katika hatua hizo kabisa ni hali tu ya usiku kuwa vibaya na sio ndoto au kwamba nilikula chakula kigumu hapana nimekula kias kidgo sana.
Nimemwambi pia 😂😂😂Jitahidi kuoga na kula kwa kiasi kabla ya kulala..
Ujinga ujinga tuu 😂😂😂 we mtu shuka chafu,hujaoga na umekula viazi vya kuchemsha na maziwa mtindi.... Walahi lazima uote ujingaNimemwambi pia 😂😂😂
Wewe umeelewa Nini kwenye Uzi huu? Mimi sijaelewaWe ulitusimulia karama yako ya ndoto waotaji tulielewa, mbona umeamua kumdhihaki? Au unadhani umejaaliwa peke yako??
Ameota, ila katika kuota alikua anapata feelings ya kwamba ni kitu kinatokea kweli na sio ndotoWewe umeelewa Nini kwenye Uzi huu? Mimi sijaelewa
AhsanteAanha we acha tu usiku unavituko sana mkuu pole na njaa!
Ndio kabisaAmeota, ila katika kuota alikua anapata feelings ya kwamba ni kitu kinatokea kweli na sio ndoto