Super mega
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 1,177
- 2,361
Habari za muda huu wakuu,
Leo muda huu nimekumbana na visa vya mauza uza wakati nipo katika usingizi ilikua kama ndoto lakini ni ndoto ya uwazi yani nikisema uwazi namaanisha matukio yaliyo kuwa yanatokea nayaona kwa uhalisia huko huko usingizini na ndotoni,
Ilikua ni mapigano makali na mazito baina yangu na mtu mmoja ambaye ni mtu mzima kwangu basi yule mzee katika kupambana kweli mimi niliona kabisa haya ni mapambano ambayo mimi inabidi nitumie Imani yangu kama siraha kwakua tayari nilioneshwa kuwa hii vita ni ya kichawi kabisa kwakweli kupitia imani yangu nilimuomba sana Mwenyezi anisaidie kweli sio jambo jepesi niliona kabisa bila maombi ya dhati na ya kweli
Nilikua sichomoki kabisa mzee huyu alikua na nia ya kunimaliza kabisa lakini kwa uwezo Mwenyezi Mungu nimetoka salama na ndio nimepata na nguvu ya kuandika kisa hiki usiku huu,niseme bado hakuja kucha hivo vita inaweza kuendelea tena au ikawa imepumzishwa hadi siku nyingine...tusiache kusali usiku ni mrefu sana na una mambo mengi sana.
Leo muda huu nimekumbana na visa vya mauza uza wakati nipo katika usingizi ilikua kama ndoto lakini ni ndoto ya uwazi yani nikisema uwazi namaanisha matukio yaliyo kuwa yanatokea nayaona kwa uhalisia huko huko usingizini na ndotoni,
Ilikua ni mapigano makali na mazito baina yangu na mtu mmoja ambaye ni mtu mzima kwangu basi yule mzee katika kupambana kweli mimi niliona kabisa haya ni mapambano ambayo mimi inabidi nitumie Imani yangu kama siraha kwakua tayari nilioneshwa kuwa hii vita ni ya kichawi kabisa kwakweli kupitia imani yangu nilimuomba sana Mwenyezi anisaidie kweli sio jambo jepesi niliona kabisa bila maombi ya dhati na ya kweli
Nilikua sichomoki kabisa mzee huyu alikua na nia ya kunimaliza kabisa lakini kwa uwezo Mwenyezi Mungu nimetoka salama na ndio nimepata na nguvu ya kuandika kisa hiki usiku huu,niseme bado hakuja kucha hivo vita inaweza kuendelea tena au ikawa imepumzishwa hadi siku nyingine...tusiache kusali usiku ni mrefu sana na una mambo mengi sana.