Usiku huwa kuna ninii

Kiboko ni jina la YESU KRISTO TU.

hutaki kushauriwa kwenda kanisani... sasa huyo Jini Mahaba atakupa mimba kabisa au atakufanya kamwe usiweze kusex na Binadamu mwanaume aliyeumbwa kwa asili ya udongo.

shauri yako.
 
Majini hayo mama Sabrina ikikutokea kama unajua kurani unasona suratinnasi yanaondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiboko ni jina la YESU KRISTO TU.

hutaki kushauriwa kwenda kanisani... sasa huyo Jini Mahaba atakupa mimba kabisa au atakufanya kamwe usiweze kusex na Binadamu mwanaume aliyeumbwa kwa asili ya udongo.

shauri yako.
Mapenzi nafanya lakin kuna muda nakuwa sitaki kabisa sitaki kuguswaa
 

Suluhisho la hiyo kitu kwanza ni kusali na kulala na kitabu cha Imani yako, Pili na muhimu usilale Chali kamwe (Chunguza utaona mara zote unapotokewa na hiyo hali ni pale unapokuwa umelala chali) na mwisho chunguza Godoro unalolalia kama limechoka badilisha
 
Huwa silali chali kabisaa ,,
Godolo nalolalia ukiliona aisee halina hata sijui litaisha lini
 
Nikafanyiwe wapi maombi na kina Gwajima au?
Wapo watumishi wengi tu wenye hofu ya Mungu na wanaweza kukuombea shida yako ikaisha Hakika

Hata kama hawana umaarufu au hawajitangazi kama kina Gwajima ila still wapo na wana nguvu za Mungu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…