Usikate tamaa

Usikate tamaa

Maccavelli

Senior Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
173
Reaction score
174
Ulikua ni asubuhi tulivi nilipo kutana na kijana yule ilikua stendi ya magari iliyo mkoani Arusha, tuli salimiana vizuri tukapiga story mbili tatu
akaanza kunielezea kuhusu maisha yake:-

Yeye ni muhitu ktk chuo kikuu kimoja kikubwa pale mkoani Dodoma, alihitimu miaka 2 iliyo pita akiwa na tumaini akitoka tuu chuo angeli weza kapata chochote kama ajira nzuri lakini mambo yakawa ndivyo sivyo.

Aliamua kuanza biashara ndogo ya kumuingizia chochote ili aweze kusaidia Familia yake, lakini biashara haikudumu hata miezi mi 3

Akaamua kuanza kubeba mizigo ambayo ndio kazi aifanyayo mpaka Sasa, akiwa na matumaini Kuna siku atafanikiwa tuu kwani maisha popote.

Nilimpa moyo kwa ujasiri na kumsihi asikate tamaa daima, hili ni funzo zuri kwa wahitimu wote wa vyuo vikuu, inabidi kujitoa na kujituma kwa juhudi zote kwani hakuna aijuae kesho Mwenyezi MUNGU watu sote .
 
Serikali inabidi kuliorodhesha tatizo la ajira kama janga la kitaifa maana UKIMWI ni raisi kusavaivu only kuliko kukosa kazi au mtaji wa kufanya biashara.Ndio maana ni rahisi kumjua mtu asiye na kazi wala mtaji wa biashara kuliko kumtambua mwenye virusi vya Ukimwi
 
Asante! Mimi nimehitimu mwaka huu kwetu sijarudi Niko tayari kulala njaa gheto KULIKO kula ugali wa bure. Nna pesa kichele tu na naifanya biashara sina wasi life linaenda
 
maisha ni kupambana aisee at the first time naitimu chuo 2016 ilikua balaa ila now nashukuru sana mungu japo nimeweza kupiga hatua
 
Wafilipi 4:4-7.
Tupende kusali, tuwe watu wa matumaini na tuwe watu wenye subira.
Mungu pekee ndio ajuaye.
Nilipokuwa sina kazi nilijutia hata kusoma kwangu.
Lakini nilipoamua Kubadilika nikawa mtu wa Yesu Kristo, kusali na kuomba na kufunga na kuwa mvumilivu ndipo nilipomuona Mungu akashusha mkono wake juu yangu.

Only God knows.
 
maisha ni kupambana aisee at the first time naitimu chuo 2016 ilikua balaa ila now nashukuru sana mungu japo nimeweza kupiga hatua
Pamoja Mkuu JKT walinitengenezea uvumilivu na kuishi maisha yoyo,chuo kikuu Mzumbe kimenifnya always kuwa bsy tuzd kupambana
 
Back
Top Bottom